Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,172
- 10,479
Brother taratibu!inaitaji akili za mwendawazimu kuwaamini talibani hii kitu nimeiongea masaa manne yaliyopita,
Waliyolipua si Taliban, ni ISIS. Fuatilia kwa makini vyombo vya habari.
Pentagon walitoa taarifa kwa majeshi yao waondoke haraka kwa sababu kwa mujibu wa Intelijensia yao walidaka hiyo taarifa na ndiyo wakaiweka wazi. Hayo ni majibu waliyojibu wao walivyohojiwa.