Mie mwenyewe naomba wafungwe,maana Taifa linacheza mechi kubwa kama ile nchi nzima haionyeshwi.Duhh
Tuwaachie wenyekujua.
Haya mambo ya TFF na Super sport,maana waligoma ili wapate Pesa,wenzao wakenya hadi mechi za uchochorin Supersport wanaonyesha ligi ya Kenya.Sie hapa tulimgomea DSTv Leo tumempa Azam TV,Hopeless kabisa.
Fungwa huko,mrudi huku na kauli za tumeonyesha kiwango ila bahati sio yetu,hahahaha kazi kweli