Afariki Dunia Akitengeneza Umbo Lake

Afariki Dunia Akitengeneza Umbo Lake

Wakuu Mwanadada mfanyabiashara na mtu maarufu mitandaoni kutoka Nigeria, Amelia Pounds mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia akiwa kwenye upasuaji wa kutengeneza shepu huko New Delhi India.

Mwadada Amefariki Dunia Wakati akiwa hospitalini Wakati zoezi la Upasuaji Likiendelea.

Week iliyopita Mwanadada Maarufu Kutoka Kenya Vera Sidika aliwaonya Akina Dada wasifanye Upasuaji wa kuongeza shape.

View attachment 2382555

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kapata stahiki yake... Alale panapomstahili
 
RIP mrembo najua haukua na lengo baya lengo utufurahishe sisi
 
Pole zake turidhike na tulivyoumbwa hutapendwa na wanaume wote ila atatokea mmoja ataridhika na umbo lako na atakupenda
Wanatafuta maumbo yanayo kubalika kwa kila mwanaume tako kubwaaaa
 
FB_IMG_1684510306066.jpg
FB_IMG_1684510382661.jpg
 
Back
Top Bottom