Afariki Dunia Akitengeneza Umbo Lake

Afariki Dunia Akitengeneza Umbo Lake

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,664
Reaction score
8,278
Wakuu Mwanadada mfanyabiashara na mtu maarufu mitandaoni kutoka Nigeria, Amelia Pounds mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia akiwa kwenye upasuaji wa kutengeneza shepu huko New Delhi India.

Mwadada Amefariki Dunia Wakati akiwa hospitalini Wakati zoezi la Upasuaji Likiendelea.

Week iliyopita Mwanadada Maarufu Kutoka Kenya Vera Sidika aliwaonya Akina Dada wasifanye Upasuaji wa kuongeza shape.

IMG-20221010-WA0787.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Iwe fundisho kwa vikongwe wote wa bongo wanaojiita ma celebrite, ambao wanakwenda kulichezea hekalu la roho mtakatifu kwa upasuaji yakirudi yanaanza kujifanya ni matoto madogo, na sauti yanaigiza ya kitotototo kumbe kuna baadhi ya nywele hata zilizojificha zimeanza kubadilika kuwa nyeupe. Kucha kutwa yanafanya bearth day lakini tarehe za umri yanarudisha nyuma. Kila siku yanaolewa na kuachika kwa sababu wanaowapenda wanadanganywa na yale ma make up sasa siku wanapokuja kujisahau bila kujipaka jamaa anashtuka kumbe nilibeba kikongwe? analala mbele
 
Ke wa kizazi hiki cha 21st C ni mizigo sana.

MADHARA YA PLASTIC SURGERY & MIKOROGO:

√ Kansa za ngozi na damu.

√ Kulegea kwa nyama na misuli ya mwilini.

√ Kuchuja haraka(Kuzeeka mapema).

√ Kunuka harufu mbaya ya mwilini kama kuku wa kizungu.

√ Kubabuka babuka ngozi kama imemwagiwa tindikali.

√ Kipochi manyoya kuwa baridi na bwawa la mtera.

√ Kupoteza personality ktk Jamii na kubaki na majuto daima.

USHAURI:

1. Kabla ya kufanya jambo lolote hakikisha kwanza unachunguza faida na hasara.

2. Si kila kitu ni cha kuiga hapa duniani ni heri upitwe na vingine uonekane mshamba kwa faida ya maisha yako ya sasa na baadaye.
 
Iwe fundisho kwa vikongwe wote wa bongo wanaojiita ma celebrite, ambao wanakwenda kulichezea hekalu la roho mtakatifu kwa upasuaji yakirudi yanaanza kujifanya ni matoto madogo, na sauti yanaigiza ya kitotototo kumbe kuna baadhi ya nywele hata zilizojificha zimeanza kubadilika kuwa nyeupe. Kucha kutwa yanafanya bearth day lakini tarehe za umri yanarudisha nyuma. Kila siku yanaolewa na kuachika kwa sababu wanaowapenda wanadanganywa na yale ma make up sasa siku wanapokuja kujisahau bila kujipaka jamaa anashtuka kumbe nilibeba kikongwe? analala mbele
[emoji16] 2012 Black Beautiful Lady(BBL) mmoja DAR - Airport alibahatika kuwa na Mzungu "Swedish" ktk mahusiano kimapenzi, Mzungu alidata hatari hadi akasepa naye kwao Sweden kutambulisha kwa Ndugu zake kisha akampatia yule Ke M 60, kuja DAR kutafuta eneo, kujenga nyumba kwa ramani waliyokubaliana nayo huku Mzungu akijipanga kwaajili ya kumuoa huyo Ke(harusi).

Walikuwa wanaendelea kuwasiliana kwa zaidi ya miezi 6 ndipo Mzungu akarudi tena Bongo kuona maendeleo ya nyumba yao ilipofikia na kumchukua BBL wakafunge ndoa Sweden, alishtuka ghafla na kupoteza kabisa nia ya kumuoa yule BBL sababu alimkuta kashajichubua hatari hadi kupoteza uzuri wake wa ngozi nyeusi asilia yenye mvuto uliomshawishi Mzungu kumpenda awali.

Hatimaye Mzungu alipiga chini kumuoa yule Ke na kuanza upya utafutaji wa Ke mwingine lakini alimgawia M 30 nusu ya thamani ya pesa za nyumba iliyokuwa imeshajengwa na kuachana kwa majonzi tele na picha liliishia hapo hapo.... [emoji30][emoji26]
 
Wakuu Mwanadada mfanyabiashara na mtu maarufu mitandaoni kutoka Nigeria, Amelia Pounds mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia akiwa kwenye upasuaji wa kutengeneza shepu huko New Delhi India.

Mwadada Amefariki Dunia Wakati akiwa hospitalini Wakati zoezi la Upasuaji Likiendelea.

Week iliyopita Mwanadada Maarufu Kutoka Kenya Vera Sidika aliwaonya Akina Dada wasifanye Upasuaji wa kuongeza shape.

View attachment 2382555

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Subiri atakaporudi wewe mwenyewe utapenda ukafanyiwe, huo ndio ufundi wa watengenezaji.
 
Hizo nyama zinazojaziwa matako yawe makubwa wanazitoa wapi?

Hapa bongo ni wasanii wapi wameongeza shape?
 
Wadada wanakosa kujiamini bure. Kila mwanaume anazo taste zake. Jinsi mlivyoumbwa kuna mtu atakupenda hivyohivyo.
Tatizo linakuja pale mitomgozo inakuja kila baada ya miezi minne. Lazima uanze kujishuku. Alafu tako ndio mtaji hapa mjini
 
Back
Top Bottom