Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,664
- 8,278
Wakuu Mwanadada mfanyabiashara na mtu maarufu mitandaoni kutoka Nigeria, Amelia Pounds mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia akiwa kwenye upasuaji wa kutengeneza shepu huko New Delhi India.
Mwadada Amefariki Dunia Wakati akiwa hospitalini Wakati zoezi la Upasuaji Likiendelea.
Week iliyopita Mwanadada Maarufu Kutoka Kenya Vera Sidika aliwaonya Akina Dada wasifanye Upasuaji wa kuongeza shape.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mwadada Amefariki Dunia Wakati akiwa hospitalini Wakati zoezi la Upasuaji Likiendelea.
Week iliyopita Mwanadada Maarufu Kutoka Kenya Vera Sidika aliwaonya Akina Dada wasifanye Upasuaji wa kuongeza shape.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app