Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,674
- 36,625
Mwenye ukuta hakumbatiwi😁Akaaaa bapa langu linanitosha
Mwenye ukuta hakumbatiwi😁Akaaaa bapa langu linanitosha
😂 Kumbe inakuwaje? Toka apaMwenye ukuta hakumbatiwi😁
Bear .... We unajua vile napenda 🤣😂 Kumbe inakuwaje? Toka apa
Alitaka akifanikiwa aje kuturingishia mjini InstagramWakuu Mwanadada mfanyabiashara na mtu maarufu mitandaoni kutoka Nigeria, Amelia Pounds mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia akiwa kwenye upasuaji wa kutengeneza shepu huko New Delhi India.
Mwadada Amefariki Dunia Wakati akiwa hospitalini Wakati zoezi la Upasuaji Likiendelea.
Week iliyopita Mwanadada Maarufu Kutoka Kenya Vera Sidika aliwaonya Akina Dada wasifanye Upasuaji wa kuongeza shape.
View attachment 2382555
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
We utanikumbatia na bapa langu hivi hivi bwana au ntavaa kigodoro hahaaBear .... We unajua vile napenda 🤣
Na hawa wapopo wanavyojua kuongea, sasa hivi atakuwa anawapiga mikwala waliomkarabati ikashindikanaWakuu Mwanadada mfanyabiashara na mtu maarufu mitandaoni kutoka Nigeria, Amelia Pounds mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia akiwa kwenye upasuaji wa kutengeneza shepu huko New Delhi India.
Mwadada Amefariki Dunia Wakati akiwa hospitalini Wakati zoezi la Upasuaji Likiendelea.
Week iliyopita Mwanadada Maarufu Kutoka Kenya Vera Sidika aliwaonya Akina Dada wasifanye Upasuaji wa kuongeza shape.
View attachment 2382555
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aaah Muanzi 🤣We utanikumbatia na bapa langu hivi hivi bwana au ntavaa kigodoro hahaa
Iwe fundisho kwa vikongwe wote wa bongo wanaojiita ma celebrite, ambao wanakwenda kulichezea hekalu la roho mtakatifu kwa upasuaji yakirudi yanaanza kujifanya ni matoto madogo, na sauti yanaigiza ya kitotototo kumbe kuna baadhi ya nywele hata zilizojificha zimeanza kubadilika kuwa nyeupe. Kucha kutwa yanafanya bearth day lakini tarehe za umri yanarudisha nyuma. Kila siku yanaolewa na kuachika kwa sababu wanaowapenda wanadanganywa na yale ma make up sasa siku wanapokuja kujisahau bila kujipaka jamaa anashtuka kumbe nilibeba kikongwe? analala mbele
Kejeli za wanaume ndio zinawaponza hao mnaowaita dada zenu.Na bado dada zetu hawajifunzi na hizi mambo. Kim kardashian, Vera sidika hao wote walikuwa waumini wa hizi plastic surgery lakini wameshaona ni miyeyusho.
Ifike kipindi dada zetu wajithamini vile walivyo.
Hawataki mtu yeyoteWadada wanakosa kujiamini bure. Kila mwanaume anazo taste zake. Jinsi mlivyoumbwa kuna mtu atakupenda hivyohivyo.
wema sepetuIwe fundisho kwa vikongwe wote wa bongo wanaojiita ma celebrite, ambao wanakwenda kulichezea hekalu la roho mtakatifu kwa upasuaji yakirudi yanaanza kujifanya ni matoto madogo, na sauti yanaigiza ya kitotototo kumbe kuna baadhi ya nywele hata zilizojificha zimeanza kubadilika kuwa nyeupe. Kucha kutwa yanafanya bearth day lakini tarehe za umri yanarudisha nyuma. Kila siku yanaolewa na kuachika kwa sababu wanaowapenda wanadanganywa na yale ma make up sasa siku wanapokuja kujisahau bila kujipaka jamaa anashtuka kumbe nilibeba kikongwe? analala mbele
Vifo vingine ni vya kujitakia.Wakuu Mwanadada mfanyabiashara na mtu maarufu mitandaoni kutoka Nigeria, Amelia Pounds mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia akiwa kwenye upasuaji wa kutengeneza shepu huko New Delhi India.
Mwadada Amefariki Dunia Wakati akiwa hospitalini Wakati zoezi la Upasuaji Likiendelea.
Week iliyopita Mwanadada Maarufu Kutoka Kenya Vera Sidika aliwaonya Akina Dada wasifanye Upasuaji wa kuongeza shape.
View attachment 2382555
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
KWELI WALIO JICHUBUA WANATATIZO HILO, PENGINE NDIO SABABU YA KUFANYA NYUMA YA NYUMBAKe wa kizazi hiki cha 21st C ni mizigo sana.
MADHARA YA PLASTIC SURGERY & MIKOROGO:
√ Kansa za ngozi na damu.
√ Kulegea kwa nyama na misuli ya mwilini.
√ Kuchuja haraka(Kuzeeka mapema).
√ Kunuka harufu mbaya ya mwilini kama kuku wa kizungu.
√ Kubabuka babuka ngozi kama imemwagiwa tindikali.
√ Kipochi manyoya kuwa baridi na bwawa la mtera.
√ Kupoteza personality ktk Jamii na kubaki na majuto daima.
USHAURI:
1. Kabla ya kufanya jambo lolote hakikisha kwanza unachunguza faida na hasara.
2. Si kila kitu ni cha kuiga hapa duniani ni heri upitwe na vingine uonekane mshamba kwa faida ya maisha yako ya sasa na baadaye.