Afanye kazi ipi huyu?

hayo ni matatizo ya vyuo vya kata na vyuo vilivyoanzishwa kisiasa matokeo yake wanazalisha maboga.eti Ardhi university kuna BAF then kiukweli siku hizi watu wanapelekwa university ilimradi tu eti mtu karisiti na yy ndani matokeo ndo ataenda kozi yoyote akiwa hajui hata atakua nani.nakumbuka kuna jamaa yangu alinishauri nikasome culture and heritage miaka 6 iliyopita ili tu niwe mwanachuo.niliamua kuwa mjasiriamali nikajiunga mwaka uliofata pale uclas now nashukuru mungu ni mwendo wa seven digits per month

una mbwembwe nawe!
 
kozi haiendi na wakati kuna watu kibao mtaani,kama mlisomea sifa kwamba nanyi mpo chuo msiambiwe,i doubt ur thinking capacity mkuu,sisi wengine ubishi hatuuwezi

Kama huu ndio uwezo wako uliouonesha katika thread hii tegemea sup, carry over ama karai za kutosha
 
Hivi username yako inaendana na mafikirio yako? Hukuchangia mawazo ukaingia kulaumu na kujenga hoja za ubishi. Anyway, karibu kwa ushauri jengefu.

Usinifikirie vibaya mkuu, lengo langu ni kuprovoke mjadala ktk positive way, sorry kama nimekengeuka. Hata hivyo nimestuka kuona mtu anagraduate na bado hajui anaweza akaapply kazi zipi. Mbona kuna njia nyingi tu za kujua kozi flani mhitimu wake anaweza kufanya kazi zipi. Mfano:

1. Kutizama matangazo ya kazi sehemu ya job description na academic qualification
2. Kuuliza walimu wako na washauri wa wanafunzi chuoni
3. Kuhudhuria mikutano ya makampuni yanayotafuta trainees vyuoni
4. Kuuliza waliokutangulia mwaka chuoni
5. Kugoogle fani yako mtandaoni huko kuna majibu mengi sana ambayo utapaswa kuyachuja mwenyewe
6 nk

Haya unapaswa kuyafanya ukiwa bado uko chuoni ama unapofanya application za kuingia chuo ama unapopata admission.

Kilichonishangaza kuna mtu kauliza ati graduate wa pspa wa "udom" anafit wapi? Kwani pspa ya udom ni tofauti na pspa za udsm, mzumbe, na vyuo vinginevyo? Yaani ni sawa na kuuliza mhitimu wa udaktari wa bugando anafit wapi, kwani yeye ni tofauti kivipi na wale wa imtu, muhimbili na kairuki.

Don't take it personal mkuu
 
Kama huu ndio uwezo wako uliouonesha katika thread hii tegemea sup, carry over ama karai za kutosha

Mkuu mi nipo kazini mda huu mambo ya chuo nimeyapita 4 yrs back,hizo karai ha ha ha ningekupa cheti changu ukague utazitafuta hukuti karai wala beseni mkuu,karibu SUA
 
Mkuu mi nipo kazini mda huu mambo ya chuo nimeyapita 4 yrs back,hizo karai ha ha ha ningekupa cheti changu ukague utazitafuta hukuti karai wala beseni mkuu,karibu SUA

Hahahaha big respect mkuu. Ahsante watu wa SUA nawakubali sana.
 
Usinifikirie vibaya mkuu, lengo langu ni kuprovoke mjadala ktk positive way, sorry kama nimekengeuka. Hata hivyo nimestuka kuona mtu anagraduate na bado hajui anaweza akaapply kazi zipi. Mbona kuna njia nyingi tu za kujua kozi flani mhitimu wake anaweza kufanya kazi zipi. Mfano:
1. Kutizama matangazo ya kazi sehemu ya job description na academic qualification
2. Kuuliza walimu wako na washauri wa wanafunzi chuoni
3. Kuhudhuria mikutano ya makampuni yanayotafuta trainees vyuoni
4. Kuuliza waliokutangulia mwaka chuoni
5. Kugoogle fani yako mtandaoni huko kuna majibu mengi sana ambayo utapaswa kuyachuja mwenyewe
6 nk
Haya unapaswa kuyafanya ukiwa bado uko chuoni ama unapofanya application za kuingia chuo ama unapopata admission.
Kilichonishangaza kuna mtu kauliza ati graduate wa pspa wa "udom" anafit wapi? Kwani pspa ya udom ni tofauti na pspa za udsm, mzumbe, na vyuo vinginevyo? Yaani ni sawa na kuuliza mhitimu wa udaktari wa bugando anafit wapi, kwani yeye ni tofauti kivipi na wale wa imtu, muhimbili na kairuki.
Don't take it personal mkuu

Thanx mkuu. Ila udom hawana field na walipodai wakafukuzwa chuo. Ardhi pia BA ECON hawajawa na field so wanamaliza wakiwa practically empty. Sasa dought ni wapi hawa watafaa kiajira katika secta binafsi? Maana kutegemea public ofices ni ndoto. Afadhali huyu wa BA ECS anaweza kubahatika in private organizations. Tabu iko kwa pspa. Kuna ndugu yangu kamaliza udom kaenda kufundisha qt na reseaters.
Najaribu kuangalia nimsaidiaje, ila nashukuru kwa michango yenu.
 
Huo ni uvivu wa kufikiri ni sawa mtu amalize chuo pale muhimbili(dsm)halafu aulize ntafanya kazi gani?haiingii akilini kabisa..you need to have vision bana
 
Wanajamvi naomba kujua mtu wa political science and public administration anaweza kufanya kazi ipi katika sector binafsi? Au yeye ni sekta ya umma tu?
Naomba kuwasilisha

ndugu unasoma tu bila kujua utafanya kazi gani?duu
 
Kweli watoto wa kizazi cha sasa ni taabu sana...ina maana tangu anasoma alikuwa hana mbele wala nyuma ili mradi amalize kitu kinaitwa shule...ni kama hakuwa na dira kabisa!!! hii ni aibu sana...ndio wale unakuta mtu amemaliza udaktari yuko bank kama teller!!! kama kweli umesoma hadi kukamata shahada then hujui utafanya kazi gani...ni sawa na mtu anatembea bila kichwa!!!
 
we umesoma oxford nin mkuu?

hapana, ni uchunguzi rahisi nilioufanya kuhusu vyuo vyetu hasa baada ya huyu ndugu yangu kuamua kufundisha qt baada ya kumaliza shahada yake udom. Ndo maana nime-cite vyuo viwili kama my points of reference.
 
swali: ni msichana mlembo? Je anautumiaje ulembo wake kumfurahisha mzee wa kaya? Tofauti na hapo ukuu wa wilaya ni ndoto.

Du! Tumefika pabaya kama taifa. Yaani hata ukuu wa wilaya umridhishe mkuu wa kaya?
Vp wanaume waliopata nafasi, nao wamempa nini mkuu? Wake zao au?
 
Back
Top Bottom