Afanye kazi ipi huyu?

Nakumbuka siku moja lecturer aliingia class kutudokeza matokeo ya test yake tuliyofanya.
Alisifu kuwa kuna baadhi ya wanafunzi walifaulu vizuri sana kwa kujibu exactly alichofundisha.
Akaenda mbali kwa kusema 'yaani wamebandika kila neno nililowaandikia kwenye lecture? Ah kweli mmenikamata!'
Kwakweli nilifadhaika kugundua jamaa anataka tukremu bila kuwa wadadisi. Elimu yetu na ajira kazi ipo.

dah!uko udom au ardh mkuu?
 
dah!uko udom au ardh mkuu?

Mkuu hii ni simple study yangu kwa degree zetu.
NADHANI vipo vyuo vingi vinavyotoa degree za maigizo kama hivi. Tunajiandaa na changamoto ya soko la pamoja EA kwa staili hii. Je, mwenye PSPA ya UDOM akafanye kazi gani nje ya sekta ya umma?
 
Acheni kumkatisha tamaa. Huyu ni mtu wa administration yaani post za utawala au kwa kimombo tunaita administrative officer anaweza kufanya vilevile post za public relation officers anaweza kuomba hawa ni watu wa mahusiano katika mashirika wanahusika na kuiwakilisha kampuni au shirika katika kujenga mahusiano mazuri na jamii kama katika vipindi ambavyo kampuni inatoa misaada kwa jamii zinaoizunguka, ni watu muhimu sana na wanakuwa karibu sana na ma-ceo's wa makampuni, asikonde akaze buti na ajue sana kujieleza hakuna blablaa katika hizo post.
 
Huyo wa Political Science & Public Administration anaweza kuomba hata Udiwani kama kwingineko pamejaa. Mwenye Political Science na Philosophy kwa Tanzania hao wana nafasi ndogo sana ya ajira maana Philosophy inaua zaidi!! Labda ikiwezekana namshauri afungue plant ya habari na kuchapisha magazeti, itamlipa kuliko kuweka wazo la kuajiriwa kwa hapa Tanzania!!!!
 
Political Science & Public Adiministration(PSPA) is multidisciplinary Study: actually when you do competently PSPA expect much to be core centre in every aspect. You can be Administrator, Policy Analyistic, Political Analyistic in fact PSPA holder he/she can fit anywhere.
 
Political Science & Public Adiministration(PSPA) is multidisciplinary Study: actually when you do competently PSPA expect much to be core centre in every aspect. You can be Administrator, Policy Analyistic, Political Analyistic in fact PSPA holder he/she can fit anywhere.

sio kwa bongo mkuu..
 
Tukubali tukatae kuna vyuo vina degree program zilizo outdated na hata kama mtadai iko up to date curriculum/ course taken in such degree hazifanyiwi review desa linagongwa copy hata halisomeki tena, wahadhiri wanatumia handout hiyohiyo for 5 yrs and more what do you expect?wengi tunafuata mkumbo na kutaka ufahari kuwa tupo chuo at the end unagraduate hujui unafanya kazi gani ni bora ungegundua mapema usipoteze miaka yako bure,pole mkuu,over and out

Wewe nawe ni walewale kama muuliza swali. Upi ni uhusiano wa Madesa ya kufundishia kuzeeka ama course content kutobadilika na degree holder wa course husika kutojua kazi zipi anaweza kuzifanya? Mna kazi nyie kizazi kipya
 
Wewe nawe ni walewale kama muuliza swali. Upi ni uhusiano wa Madesa ya kufundishia kuzeeka ama course content kutobadilika na degree holder wa course husika kutojua kazi zipi anaweza kuzifanya? Mna kazi nyie kizazi kipya

kozi haiendi na wakati kuna watu kibao mtaani,kama mlisomea sifa kwamba nanyi mpo chuo msiambiwe,i doubt ur thinking capacity mkuu,sisi wengine ubishi hatuuwezi
 
Elimu elimu elimu elimu real need more modification people la sivyo tumeumia tunaongeza vyuo bila kujua wahitimu wanaqfanya nini kwenye jamii. I mean kuna chuo chochote kinafuatilia wahitimu wake wanafanya nini baada ya kumaliza au wapo after quantity?
 
Anaweza kufanya kazi zifuatazo:- NGO kazi post ya dvocay,bank teller,mikopo,maendeleo ya jamii,katibu wa chama,mambo ya gender development,policy maker and any the like.
 
Anaweza akawa katibu kata,mjumbe wa nyumba 10 au katibu wa chama kama julius mtatiro au mkama.
 
Nakumbuka siku moja lecturer aliingia class kutudokeza matokeo ya test yake tuliyofanya.
Alisifu kuwa kuna baadhi ya wanafunzi walifaulu vizuri sana kwa kujibu exactly alichofundisha.
Akaenda mbali kwa kusema 'yaani wamebandika kila neno nililowaandikia kwenye lecture? Ah kweli mmenikamata!'
Kwakweli nilifadhaika kugundua jamaa anataka tukremu bila kuwa wadadisi. Elimu yetu na ajira kazi ipo.

Mkuu excellent kabaisa mpaka sr anataka uwe na mawazo na mtazamo kama wa kwake.uidismu ndo kazi yao.Elimu yetu haina freedom of thinking and reasoning ila dominance of truth by the few.Nadhani elimu yetu ingekuwa na vitu kama uhuru wa mawazo tungekuwa kama nchi nyingine tunazotolea mifano ya kufanikiwa kwao huku tukibaki kutoa mifano iliyoshindwa toka kwetu.WE NEED TO REFORM AND RESTRUCTURE OUR EDUCATION SYSTEM.
 
hayo ni matatizo ya vyuo vya kata na vyuo vilivyoanzishwa kisiasa matokeo yake wanazalisha maboga.eti Ardhi university kuna BAF then kiukweli siku hizi watu wanapelekwa university ilimradi tu eti mtu karisiti na yy ndani matokeo ndo ataenda kozi yoyote akiwa hajui hata atakua nani.nakumbuka kuna jamaa yangu alinishauri nikasome culture and heritage miaka 6 iliyopita ili tu niwe mwanachuo.niliamua kuwa mjasiriamali nikajiunga mwaka uliofata pale uclas now nashukuru mungu ni mwendo wa seven digits per month
 
Back
Top Bottom