TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,079
Akizingumza hivi karibuni Sele alisema ameamua kugombea ili kuweza kuwatetea wanyonge ambao wamekosa watetezi bungeni.
Hata hivyo Msindi ambaye amekuwa akiimba nyimbo zenye 'mguso' kwa jamii zikiwemo 'Mtazamo' aliowashirikisha Solothang na Prof.J, Karata Dume na nyinginezo hakuweka wazi kuwa atasimama kwa tiketi ya chama gani.