Afande Sele amtukana matusi mazito Sugu

Hapa naomba tukubaliane hakuna uhusiano wa bangi na huo upuuzi wa Sele ingekua bangi ina matatizo ofisi nyingi zingekua full vurumai ila tunavuta na mnakuja kwenye ofisi zetu tunawapa huduma fresh tu hata wizarani kungekua tafrani pia.
Sele ana sonono,usiombe uwe maarafu alafu ushuke bila kutegemea lazima uvurugike mbaya zaidi unaona watoto wadogo wa nyimbo 3 tu wana cruise kwenye ndinga na wana maisha mazuri acheni tu Sele apate kichaa.
 
Hapa naomba tukubaliane hakuna uhusiano wa bangi na huo upuuzi wa Sele ingekua bangi ina matatizo ofisi nyingi zingekua full vurumai ila tunavuta na mnakuja kwenye ofisi zetu tunawapa huduma fresh tu hata wizarani kungekua tafrani pia.
Sele ana sonono,usiombe uwe maarafu alafu ushuke bila kutegemea lazima uvurugike mbaya zaidi unaona watoto wadogo wa nyimbo 3 tu wana cruise kwenye ndinga na wana maisha mazuri acheni tu Sele apate kichaa.
Anazingua sana
 
Anafikiri akimtukana sugu fisiem watampa ulaji
Watampa mana ndiko tulikofikia ,watu wanye chuki mbaya dhidi ya Chadema ndio wanapewa Nafasi na kwa upande wa Chadema vivyo hivyo. Ukitaka uitwe kamanda lazima uwe na chuki mbaya dhidi ya mtu wa chama kingine hasa CCM na CU F ya Lipumba.
Ndipo tulipofikishwa sasa.
Sio CCM sio chadema.

Chanzo cha yote ni kukosa viongozi makini wa kisiasa.

Hata hivyo hayo matusi ni masuala ya kijinai.
Apeleke Polisi na kama hakuna hatua zitakazochukuliwa nchi yetu ina viongozi wa dini tuwaambie ,tuwambie jinsi watu wanavyopata nafasi za uteuzi kwa kusambaza chuki na kiburi.

Pole sana Kaka yangu Sugu kwa uvumilivu.
 
Afande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni,mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa yote wananchi wa morogoro sio wapumbavu kiasi hicho wakupe ubunge afande sele,hata huyo magu ambaye unajipendekeza kwake hawezi akakupa hata uenyekiti wa mtaa,
Afande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili

[ ATTACH=full]859365[/ATTACH]View attachment 859366View attachment 859367
Kumbe ana kipaji cha taarab
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom