Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
- Thread starter
- #21
Anafikiri akimtukana sugu fisiem watampa ulajiHahahaha eti alitaka kuwa Mbunge huyu muhun???
Anafikiri akimtukana sugu fisiem watampa ulajiHahahaha eti alitaka kuwa Mbunge huyu muhun???
I knw him anaishi Boma road geto Bangi umemlevya wakati wanzake wanalewesha na madaraka ya madaraka madaraka ya kulevya!Sio utoto ni upumbavu,alafu ni jitu zima lina watoto kabisa
Inasikitisha sana sijui watoto wake wanajisikiaje kuwa na baba mwenye tabia za kikeHahaha nimecheka sana
Afu wote sura zile zile anakaa anamuita mwenzie vibaya
Ila jamaa kweli ana mambo ya kike
Ila nachomkubali sugu hatojibishana nae japo katukanwa tusi baya sanaInasikitisha sana sijui watoto wake wanajisikiaje kuwa na baba mwenye tabia za kike
Sugu huwa hajibu upuuzi hata siku moja!Ila nachomkubali sugu hatojibishana nae japo katukanwa tusi baya sana
Kweli kabisa.jamaa hana future yupo yupo tu.Sugu huwa hajibu upuuzi hata siku moja!
Sasa jitu kama sele macho kumchuzi, lilevi halina mwelekeo kulijibu si unalipa credit za wizi?
Sugu na faiza akili zao hamna tofautiSugu huwa hajibu upuuzi hata siku moja!
Sasa jitu kama sele macho kumchuzi, lilevi halina mwelekeo kulijibu si unalipa credit za wizi?
AnazinguaI knw him anaishi Boma road geto Bangi umemlevya wakati wanzake wanalewesha na madaraka ya madaraka madaraka ya kulevya!
Sanaa na hii ndo akili...ukitaka kuliweza jitu linalotaka kubeba maujiko kupitia mgongo wako ni kuliignore tu na kuliblacklist....that's allKweli kabisa.jamaa hana future yupo yupo tu.
Sugu ana busara sana yule jamaa
Huo ni mtazamo wakoSugu na faiza akili zao hamna tofauti
Yap na mtazamo wangu upo sahihi,haiwezekani mwanaume unamwambia mwanaume mwenzako ana sura mbayaHuo ni mtazamo wako
Anazingua sanaHapa naomba tukubaliane hakuna uhusiano wa bangi na huo upuuzi wa Sele ingekua bangi ina matatizo ofisi nyingi zingekua full vurumai ila tunavuta na mnakuja kwenye ofisi zetu tunawapa huduma fresh tu hata wizarani kungekua tafrani pia.
Sele ana sonono,usiombe uwe maarafu alafu ushuke bila kutegemea lazima uvurugike mbaya zaidi unaona watoto wadogo wa nyimbo 3 tu wana cruise kwenye ndinga na wana maisha mazuri acheni tu Sele apate kichaa.
We jamaa bana ...sasa aliyesema sugu ana sura mbaya si ni sele kwani ni faiza?Yap na mtazamo wangu upo sahihi,haiwezekani mwanaume unamwambia mwanaume mwenzako ana sura mbaya
Hata faiza ashawahi sema hivyoWe jamaa bana ...sasa aliyesema sugu ana sura mbaya si ni sele kwani ni faiza?
Ooooh okHata faiza ashawahi sema hivyo
Ndicho nilichokisemaOoooh ok
Sasa hapo ufanano wa faiza na sugu moto chin uko wapi? Sema faiza na sele akili yao moja tena walitakiwa wawe mume na mke coz wote wana mipasho!
Sugu amejifunza nadhani kuwa kahaba haoelewiOoooh ok
Sasa hapo ufanano wa faiza na sugu moto chin uko wapi? Sema faiza na sele akili yao moja tena walitakiwa wawe mume na mke coz wote wana mipasho!
Watampa mana ndiko tulikofikia ,watu wanye chuki mbaya dhidi ya Chadema ndio wanapewa Nafasi na kwa upande wa Chadema vivyo hivyo. Ukitaka uitwe kamanda lazima uwe na chuki mbaya dhidi ya mtu wa chama kingine hasa CCM na CU F ya Lipumba.Anafikiri akimtukana sugu fisiem watampa ulaji
Kumbe ana kipaji cha taarabAfande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni,mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa yote wananchi wa morogoro sio wapumbavu kiasi hicho wakupe ubunge afande sele,hata huyo magu ambaye unajipendekeza kwake hawezi akakupa hata uenyekiti wa mtaa,
Afande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili
[ ATTACH=full]859365[/ATTACH]View attachment 859366View attachment 859367