Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,198
- 45,966
Kumbe ana kipaji cha taarab
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
Kumbe ana kipaji cha taarab
Sijui umri wako ila kama umevuka 18 basi waliokuzaa wamepata hasara kubwa sana.lakini amesema ukweli au uongo? kipi cha uongo hapo?
Yaani!!Aisee
Hivi sugu na sele nani ana sura mmbaya eti,,, nahisi Mimi ndo nko tofauti kimtazamoSugu haongeagi kuhusu sele,sele anaona wivu sugu ana hela,sele anatabia za kike,anasema eti sugu ana sura mbaya,mfupi,amepata mtoto uzeeni,sasa si tabia za kike hizi za kina mwajuma kule vingunguti
Umeona eeh? Marastafari hawako hivoHalafu anajiita rasta anaiaibisha imani ya marastafari
Umeniwakilisha vema sana mkuu,,,Umetawaliwa na Roho mbaya kama Boss (u know him) kwa upofu wako unaamini hayo aliyosema Seleman Msindi ni ya kweli kwa kiasi gani %ge wise? Acha mahaba kwa mwanaume mwenzio that much mkuu!
Huyo jamaa anazinguaWe jamaa bana![]()
![]()
...sasa aliyesema sugu ana sura mbaya si ni sele kwani ni faiza?
![]()
![]()
![]()
Kama akili za afande sele na MaguSugu na faiza akili zao hamna tofauti
Sugu na faiza akili zao hamna tofauti
. Kipi Ulichokisema? Uwe unasoma kabla ya kupost.Ndicho nilichokisema