Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
napingana na mawazo yako ya kusema 7m haitoshi kwa mtaji!!..mm nilianzisha mpesa,tigo pesa,airtel money just for the capital of 5m na sasa imezaa imekua 10 within a year!!,kibusness changu kinanizalishia kati ya laki8 mpaka 1m kwa mwez kwa capital hiyo ya 5m nloanza nayo!!jaman ujasiriamali hauhitaji mtaji mkubwa ni akili tu,hata 1m ni mtaji wa kutosha na ukiimanage vzr baada ya mwaka inakua 5m hiyo!
Na ndio maana huwa tunashindwa kufanya biashara kwa kuwa wengi wetu ukituambia biashara tunafikiria mtaji mkubwa sana ambao ni zaidi ya 10 milioni tunasahau kwamba biashara ni zaidi ya mtaji kwani kuna issue ya ujuzi na uzoefu before investment hivyo unahitaji kuanza kwanza na kile ulichonacho karibu ili unafikiria namna ya kutanua biashara yako in future wakati huo tayari unakuwa na ujuzi na uzoefu. Nakubaliana na Kamanda Moshi kwenye kipengele kingine cha usimamizi