MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,093
- 65,070
Huyu bwana anaitwa Kadhim Al-Jabouri,
Anaiambia BBC kwamba alikuwa hampendi Saddam Hussein kwasababu aliua ndugu zake kama kumi na watano. Anaendelea kusema siku ambayo Marekani na Uingereza wanavamia Iraq alishangilia sana na akawa wa kwanza kuchukua nyundo na kwenda kuvunja sanamu la Saddam Hussein.
Anakiri kwamba alihisi kuwa atapata amani na wazungu walitengeneza Propaganda chafu sana na binafsi akazimeza: Lakini tangu kuanguka kwa Utawala wa Saddam Hussein anasema hajawahi kupata amani moyoni mwake na nchi ile imeharibika imerudi kwenye sifuri.
Amesema anajutia sana alichokifanya na kama angekuwa na Uwezo angejenga upya sanamu ya Saddam Hussein pale lakini anashindwa anaona aibu sana na anaogopa kuuwawa. Amesema wanaotawala sasa ni wabaya 1000 zaidi ya Saddam. Angalia hapa chini:
CC: izzo , Dotworld, Bukyanagandi
Anaiambia BBC kwamba alikuwa hampendi Saddam Hussein kwasababu aliua ndugu zake kama kumi na watano. Anaendelea kusema siku ambayo Marekani na Uingereza wanavamia Iraq alishangilia sana na akawa wa kwanza kuchukua nyundo na kwenda kuvunja sanamu la Saddam Hussein.
Anakiri kwamba alihisi kuwa atapata amani na wazungu walitengeneza Propaganda chafu sana na binafsi akazimeza: Lakini tangu kuanguka kwa Utawala wa Saddam Hussein anasema hajawahi kupata amani moyoni mwake na nchi ile imeharibika imerudi kwenye sifuri.
Amesema anajutia sana alichokifanya na kama angekuwa na Uwezo angejenga upya sanamu ya Saddam Hussein pale lakini anashindwa anaona aibu sana na anaogopa kuuwawa. Amesema wanaotawala sasa ni wabaya 1000 zaidi ya Saddam. Angalia hapa chini:
CC: izzo , Dotworld, Bukyanagandi