Adhabu za wanajeshi

Kumbe inawezekana kuwashtaki kunawale wa kututishia tidhia kutukosesha amani dawa Yao n ipi😀
 
Jina lako la kibabe halafu wewe mwenyewe ni mdebwedo
 
Sio kwa miaka hii ndugu!!!mwanajeshi hayupo juu ya sheria,na sana sana wanaofanya upuuzi huo ni wale wadogo wadogo ki vyeo!!kuanzia nyota moja hawafanyi upuuzi huo.
 
Aroo wewe B coy nanga wa kombania okota hiyo ming'ao nikukute nayo uwanja wa damu
 
Wewe ni kilaza na ndo maana ulipigwa. Wewe ni kilaza,ulizaliwa kilaza na utaendelea kuwa kilaza
 
Unachukulia mambo kienyeji mno... una processor ndogo mno ya ubongo
 
Kumbe inawezekana kuwashtaki kunawale wa kututishia tidhia kutukosesha amani dawa Yao n ipi
Huyo anakuingiza mkenge mdogo wangu.

Utarukishwa kichura chura,maezi mzima utakuwa huwezi kuchuchumaa. Unaweza kujisaidia huku umelala.
 
Kijana nyoronyoro unatoa ushauri nyoronyoro
 
Unapokosa, uungwana ni kukiri na kuwa mpole, kisha kuomba radhi. Ukisamehewa shukuru, usiposamehewa shukuru. Hao walikosea! Hivyo walistahili.
 
Na tuliotoa adhabu tunaruhusiwa kusimulia?
Mungu anisamehe tu
 
Mimi Huwa napita lugalo mara nyingi nikitembea sijawahi kupewa adhabu sana huniuliza naenda wapi Hadi maafande wamekuwa rafiki acheni uoga wa wajeda
Hiyo ninayokwambia ni miaka ya 90 ambapo wajeda waliogopeka zaidi ya yule malaika mtoa roho za watu.

Kwa sasa mambo hayo yamepungua baada ya wajeda wenyewe kutambua kwamba kwa sasa raia wengi wana uelewa mkubwa, wanajua sheria na haki zao. Lakini pia kuna hili swala la mjeda kumfanyia ushenzi raia afu kesho mjeda huyo anaanikwa katika mitandao fulan ya kijamii na kuchukuliwa hatua za kinidhamu kupitia sheria zao za jeshi.

Yani kwa sasa ukiona mtu anahenyeshwa na mwanajeshi kizembe zembe basi jua kwamba huyo jamaa ndo kwanza anaingia mjini siku kadhaa zilizopita.
 
Ni ushamba sana... upo sawa
 
Watu wa Tanzania bara mnaogopa majeshi kupitiliza yni dah punguzeni uoga hao ni maafisa tu wa jeshi
 
Kijana utajaa tu siku moja ndio utajua wajenda ni vichaa zaidi yako. Utanyooshwa na jamaa ukimshtaki afukuzwi kazi
Wewe ni mjeda au?
acha ushamba na wengi wanaofanya hivi ni wajeda darasa la saba na fom foo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…