Adhabu za wanajeshi

Adhabu za wanajeshi

Achana na story za vijiweni, zitakupotezea muda
Screenshot_20230510-091229_Opera Mini.jpg

Kila kitu huwa mnaleta ubishi kujifanya wajuaji kumbe wajinga tu
 
Siku moja Wajeda wa Mwenge miaka ya nyuma kidogo walijichanganya kwa kijana mmoja mtu wa mazoezi sana, Alikuwa bado denti lakini mtu wa Mazoezi sana, alikuwa akicheza karate. Dogo anawahi shule, kupiga paper, wakamzingua kwa kumuita ili aende walipokuwa wamekaa, dogo akawaambia anawahi hawezi kwenda. Dogo alipotembea mita kadhaa mbele, Jamaa hawakuridhika, mmoja akamuungia ili amsimamishe amchimbe biti. Jamaa akataka kutumia ubabe, Dogo akaona isiwe tabu, akasimama kiume akazipanga na jamaa, mkono ukapigwa pale. Mjeda ulimi huu. Wakaja wajeda wengine ili kusaidiana na Jamaa, Dogo bado akajisimamia, Mkono ukapigwa pale, Dogo kagoma kuwa kondoo. Mpaka raia wakaanza kusogea. Wakaona isiwe tabu wampeleke ndani kwa mkubwa, dogo akakubali kwenda. Kufika kule Mkubwa akawaona wale Wajeda wendawazimu. Wamefanya Ujinga. Dogo akawachimba biti wale jamaa kuwa hawajamalizana, na yeyote atakayekutana naye kitaa ama zake ama za mjeda, Ugomvi bado haujaisha!. Ilibidi wajeda wake watume watu wa kureconcile na Dogo maana naye ni mtoto wa mitaa ile. Na wajeda sometimes huingia mitaani.

Nguvu ya Wajeda ipo katika Kamandi, na ndani ya formation za kikosi. Kama Ukijipanga vizuri, na unajiamini na ukikataa intimidation za kisaikolojia unaweza kusimama naye man to man na ukamnyoosha vizuri ili aende akaite wenzie.

Mob psychology inawasumbua baadhi ya Wajeda.
Huyo dogo namjua. Nafikiri utakuwa unamwongelea Bellah.
 
Ila huo ni unyanyasaji na mwanajeshi mwenye akili timamu hawezi kumnyanyasa binadamu mwenzie kwa kosa kama hilo lisilo na miguu Wala kichwa.

Kimsingi mtu wa namna hiyo namuonaga kama hamnazo vile
 
Unachokifanya ni kushangilia ujinga wa kutokujua haki zako, Askari wa jeshi lolote haruhusiwi kukushambulia hata kama umevunja sheria ilimradi tu hujakataa kutii amri ikiwa amekuja kukukamata haruhusiwi kukupiga Wala kukudhalilisha kwa adhabu yoyote chombo kinachotoa adhabu ni mahakama anachotakiwa kukifanya ni kukufikisha mbele ya vyombo vya sheria ili ukahukumiwe kwa kosa ulilofanya kama kweli hilo kosa lipo

Akikwambia chuchumaa/kaa chini we kubali ila akikwambia ruka kichura mwambie siwezi kwasababu za kiafya hapo sasa chochote atakacho kufanya ikiwa ni kukushambulia unaruhusiwa kumshitaki utaratibu wa kushtaki ni uleule
Shambulizi lolote atakalo kufanyia ni kosa kama makosa mengine ya shambulio na unaruhusiwa kufungua kesi dhidi yake na akawajibishwa

Huyo dereva alitakiwa akatae kwanzia amri ya kuambiwa ashukie dirishani kwakua siyo amri halali na ni kinyume na utaratibu kwakua ilikua inahatarisha usalama wake
Safi sana kwa elimu mujaaarabu!
Unajua baadhi ya wanajeshi ni wajinga sana. Mwanajeshi mwenye weledi hawezi kufanya mambo kama hayo. Ndo shida ya kuajiri watu waliopata waliopata four ya zero.
 
Wanajeshi wasio na kisomo hawana hakili kabisaaaaaa,Inaelekea watu wanajua mwanajeshi hua hapigwi,
Aloo Kuna wanajeshi wawili walipigwa vibaya sana na washkaji waliokua wakichunga Mbuzi maeneo ya jeshi.
 
Kuna football team ya kambi flani hv ya jeshi, sjui ni ujinga au upumbavuu😲
Wakicheza na team ya kijjn ambapo wanamashart Yao.

1, huruhusiwi kushangilia Kwa kiruka circus au kupiga kelele na kuzomea hovyo ukifanya Hvo utajuta kwann ulifunga goli.

2, Kupiga chenga za sifa na kujiona we ni star kama inonga misifaa kibao hii itakula kwako kwani utajuta kwann unaleta sifa
3, haitakiwi kuifunga hii team kabisa iwe isiwe Bora mtoke draw, na ikitokea mmefunga mtafanya juuchini japo mjifunge tu Ili kuepusha vita ya tatu ya dunia. Sio Kwa hicho kipigo kitakachowakuta.

Hawa jamaa yaani sio poa ila hii ilkua zaman saiv Kwa namna tulivovurugwa aahh kinaumana.
 
Kuna mwanadada alikutwa anadinywa kwenye maeneo yao alafu muuni akakimbia yeye akabaki na chupi kavaa mguu mmoja kwa bahati nzuri alikutana na afande wa kike akamkusanyia mchanga kama kilo moja kisha akamwamuru akitawanye kwa ushuzi, So funny pale chini palibaki kipara
 
Wameshindikana kwa lipi?!
Wakati ukimuamulia hasa kwa kuvunja sheria kwake anakupigia magoti!
Unadhani sio Binadamu hao na hawaogopi kudhtakiwa na kumwagwa kazini?!
Tatizo hatujui sheria na Ni waoga kupindukia.. hicho tu!

Kuna mmoja mtaa alihama ..kataka kupanda watu kichwani kisa jw,!
Ukitaka kuongelea kuhusu sheria basi kajadili huko kwingine na si kuingia eneo la kazi la mwanajeshi. Ukiona mwanajeshi yupo eneo lake la kazi kaa naye mbali sana, kukitokea msala wowote ule kisa raia wewe kwa ujuaji wako anapewa adhabu mbaya kuliko hizo anazokupa. Hao watu tumeishi nao makambini na kama hana zamu ya majukumu utamwona ni mshkaji wako, akiwa na zamu hata urafiki tulikuwa hatuleti. Kuna mmoja alishawahi kuwapiga kuruti ambao ni washkaji zake sana mateke ya uso kabisa kisa kumletea ujinga akiwa zamu.

Kama huyo dereva wa lori hapo, kaziba geti na eneo lake la kazi ni hapo getini ulitaka afanywaje? Wakubwa wakitoka je na wana mambo yao, unafikiri kitakachomkuta kinafikia cha huyo dereva alichomfanyia?

SHERIA PELEKA KWENU USICHEZE NA MTU AKIWA KAZINI NA ANATAKIWA KUIFANYIA KAZI HIYO KWA UFANISI. UTAUMIA
 
Acha kuwafundisha watu uoga na kukubaliki kunyanyasika wakiwa wananyang'anywa haki zao za msingi. Ukianza huo unyonge utapigwa makofi hata na wadogo zako
Kama unajua haki zako za msingi basi tambua na haki zake huyo mwanajeshi pia. Usimletee ujinga na wala usikiuke taratibu zao akiwa yupo eneo lake la kazi. Ujuaji wenu utaumia na cha kufanya huna, kama huyo dereva wa lori aliyeziba geti angemfanya huyo MP apewe adhabu mbaya sana na wakubwa zake. Ulitaka amuache?

Usicheze kwenye kazi ya mtu ambaye aliisotea na hata kuumia hadi kuja kuipata
 
Ukitaka kuongelea kuhusu sheria basi kajadili huko kwingine na si kuingia eneo la kazi la mwanajeshi. Ukiona mwanajeshi yupo eneo lake la kazi kaa naye mbali sana, kukitokea msala wowote ule kisa raia wewe kwa ujuaji wako anapewa adhabu mbaya kuliko hizo anazokupa. Hao watu tumeishi nao makambini na kama hana zamu ya majukumu utamwona ni mshkaji wako, akiwa na zamu hata urafiki tulikuwa hatuleti. Kuna mmoja alishawahi kuwapiga kuruti ambao ni washkaji zake sana mateke ya uso kabisa kisa kumletea ujinga akiwa zamu.

Kama huyo dereva wa lori hapo, kaziba geti na eneo lake la kazi ni hapo getini ulitaka afanywaje? Wakubwa wakitoka je na wana mambo yao, unafikiri kitakachomkuta kinafikia cha huyo dereva alichomfanyia?

SHERIA PELEKA KWENU USICHEZE NA MTU AKIWA KAZINI NA ANATAKIWA KUIFANYIA KAZI HIYO KWA UFANISI. UTAUMIA
Ila kweli jeshini hakuna kujuanaa, nilishuhudia kabisaa,
 
Ila kweli jeshini hakuna kujuanaa, nilishuhudia kabisaa,
Watu hawajui hilo, kama kule ndani linapokuja suala la kazi hawana mambo ya kujuana. Vipi huko raia uje kumletea ujuaji, yaani wale anaweza kukufanya kiti kibaya hata kama mshkaji wako
 
Watu wanaotakiwa kulinda raia ndio ambao wanaonea raia kwa kuwahukumu badala ya kuwapeleka sehem husika...
 
Back
Top Bottom