Adhabu za wanajeshi

Safi sana.
Hamna shida.
Ipo siku utaumia tu.
 
Kiranga sorry, wewe ulikuwa na jina au ulitumia tu jina la huyo mwenzako wa kwa Baba Ben?
Romeo and Juliet Act II, Scene II, William Shakespeare

Juliet:

O Romeo, Romeo! wherefore art thou Romeo?
Deny thy father and refuse thy name;
Or, if thou wilt not, be but sworn my love,
And I'll no longer be a Capulet.

Romeo:

[Aside] Shall I hear more, or shall I speak at this?

Juliet:

'Tis but thy name that is my enemy;
Thou art thyself, though not a Montague.
What's Montague? It is nor hand, nor foot,
Nor arm, nor face, nor any other part
Belonging to a man. O, be some other name!
What's in a name? That which we call a rose
By any other name would smell as sweet;

So Romeo would, were he not Romeo call'd,
Retain that dear perfection which he owes
Without that title. Romeo, doff thy name,
And for that name which is no part of thee
Take all myself.

Romeo:

I take thee at thy word:
Call me but love, and I'll be new baptized;
Henceforth I never will be Romeo.
 
Asante Kwa kutuelewesha lakini watz wengi ni waoga
 
Siku moja Wajeda wa Mwenge miaka ya nyuma kidogo walijichanganya kwa kijana mmoja mtu wa mazoezi sana, Alikuwa bado denti lakini mtu wa Mazoezi sana, alikuwa akicheza karate. Dogo anawahi shule, kupiga paper, wakamzingua kwa kumuita ili aende walipokuwa wamekaa, dogo akawaambia anawahi hawezi kwenda. Dogo alipotembea mita kadhaa mbele, Jamaa hawakuridhika, mmoja akamuungia ili amsimamishe amchimbe biti. Jamaa akataka kutumia ubabe, Dogo akaona isiwe tabu, akasimama kiume akazipanga na jamaa, mkono ukapigwa pale. Mjeda ulimi huu. Wakaja wajeda wengine ili kusaidiana na Jamaa, Dogo bado akajisimamia, Mkono ukapigwa pale, Dogo kagoma kuwa kondoo. Mpaka raia wakaanza kusogea. Wakaona isiwe tabu wampeleke ndani kwa mkubwa, dogo akakubali kwenda. Kufika kule Mkubwa akawaona wale Wajeda wendawazimu. Wamefanya Ujinga. Dogo akawachimba biti wale jamaa kuwa hawajamalizana, na yeyote atakayekutana naye kitaa ama zake ama za mjeda, Ugomvi bado haujaisha!. Ilibidi wajeda wake watume watu wa kureconcile na Dogo maana naye ni mtoto wa mitaa ile. Na wajeda sometimes huingia mitaani.

Nguvu ya Wajeda ipo katika Kamandi, na ndani ya formation za kikosi. Kama Ukijipanga vizuri, na unajiamini na ukikataa intimidation za kisaikolojia unaweza kusimama naye man to man na ukamnyoosha vizuri ili aende akaite wenzie.

Mob psychology inawasumbua baadhi ya Wajeda.
 
Tulipokuwa jkt kuna ile siku wanaita msafara wa polini. Sasa kuna raia alikuwa anaendesha pikipiki ina mzigo pembeni yetu. Jamaa wakamchomolea funguo wakamwambia awafuate na kuiacha pikipiki hawaezi. Ikabidi mwamba asukume.
 
Tulipokuwa jkt kuna ile siku wanaita msafara wa polini. Sasa kuna raia alikuwa anaendesha pikipiki ina mzigo pembeni yetu. Jamaa wakamchomolea funguo wakamwambia awafuate na kuiacha pikipiki hawaezi. Ikabidi mwamba asukume.
vijana wa JKT nao wakajioba Masoja?
 
Tupe mkasa mzima jombaa😂
 
Duh! 😂😂
 
Ila wajeda Kama kweli mbinguni kupo Basi wengi wao watabaki kupasikia tu.

Hawa jamaa Ni makatili Sana.
 
Unafika kwa wakubwa zake ukiwa ushaumia, inasaidia nini sasa??
 
Ulishawahi kufa mara ngapi??
 
Unafika kwa wakubwa zake ukiwa ushaumia, inasaidia nini sasa??
Kwanza ukifika kuna wakukusikiliza mwache ajipe moyo, ukiona unasikilizwa ujue hyo ni critical issue kweli kweli la sivyo ukifika ataitwa "afande maro mbona kijana amechafuka embu mpereke akaoge" hapo ujue unaenda kuoga vumbi
ukitoka huko hurudi tna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…