Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,021
- 3,429
Safi sana.Mimi sikubaligi upumbavu, huyo mwanajeshi mshamba na njaa Kali angekuja kwangu aone, ningevomjibu dry sitishiwi bunduki Mimi, Wala sitishiwi kifo hata siku moja
Angeenda ailete hata Kambi nzima, siogopagi kufa Mimi, liwalo na liwe na ndo wangejua kweli hii Dunia kuna watu watata, sio Dunia, Tanzania kuna watu watata. Mimi ndio MWAMBA.
Romeo and Juliet Act II, Scene II, William ShakespeareKiranga sorry, wewe ulikuwa na jina au ulitumia tu jina la huyo mwenzako wa kwa Baba Ben?
UONGONakumbuka 2009 nikiwa ndani ya kigoma, nilipewa adhabu ya kujaza pipa kwa kijiko...
Ntaludi kumalizia but usiombe ujae angle za hao jamaa.
Kwann 🙄?samahani mkuu.. hii avator yako popote napokutana nayo huwa inanisahaulisha yani nachotaka kucomment..
Wanajeshi wengi huwa hawajui sheria atakunyanyasa akikutana na wewe ambae umelelewa kwenye misingi ya uoga uoga ila ukikomaa nae mwisho huwa wanaomba radhi na hata fidia unalipwa maana anajua kazi yake inaenda kuharibika
Kuna askri mmoja wa jwtz private ndugu yake aligongwa na pikipiki baada ya kugongwa na pikipik kesi ilienda hadi mahakamani kesi ikaisha kwa maamuzi ya mahakama lakini aliegongwa akawa bado anaendelea na matatibabu.
Jamaa huyo private wa jwtz akiwa likizo alichoamua kukifanya akiwa yupo likizo akaenda kumkamata yule jamaa aliemgonga ndugu yake na baada ya kumkamata akaenda kumfungia kwao hilo Ni kosa la kwanza alifanya kinyume na sheria(utekaji)
Kosa la pili akiwa anamuhoji akampiga yule jamaa akishinikiza kuwa jamaa amuhudumie mgonjwa wao hilo ni kosa la pili (shambulio la kudhuru mwili) kilichotokea hapo ni kuwa ndugu wa yule ndugu yao ambae amefanyiwa hivyo walikua wanajua haki zao wakakusanya ushahidi wote na mashahidi wakawepo ndugu yao alivyoaachiwa tu akiwa na majeraha wakaenda kuchukua pf 3 polisi ikaenda kuthibishwa na daktari kuwa jamaa kweli kashambuliwa na kapata madhara (hapa tayari shahidi wa 3 ambae ni daktari kapatikana)
Baada ya kutoka hospitali Sasa wakaenda kufungua kesi ya shambulio polisi kwakua ushahidi wote upo polisi ikabidi waende kumkatamta katika kumuhoji kumbe kweli alikua ni Askari wa jwtz, kilichotokea hapo taarifa ikatumwa kikosini kwake, utaratibu ulivyo ni kuwa Askari yeyote hapelekwi mahakama za kawaida kwa makosa ya jinai hadi kwanza apitie mahakama za kijeshi na afukuzwe kwanza kazi ndo apelekwe akiwa kama raia wa kawaida
Hali ilipofikia hapo na ndugu wa yule mwanajeshi wakaona kibarua cha mtoto wao kinaenda kuharibika ikabidi wajishushe wakaenda kuomba msamaha kwa yule alieshambuliwa wakabembeleza sana ili aifute hiyo kesi mwisho jamaa alikubali akapokea fidia lakini muda huo yule private wa jeshi kashakaa lockup ya polisi siku 6 maana utaratibu ilikua kikosini kwake ndo waje wamchukue lakin hawakuja kwa siku zote 6
Baadae kesi ilifutwa lakin Kama jamaa wangekomaa nae alikua anaenda kufukuzwa kazi kwasababu ameiingilia hadi mahakama kwa kesi ambayo ilishatolewa maamuzi,lakin pia alifanya makosa ya jinai kuteka na kushambulia
Sasa watu wanatakiwa wajue haki zao na siyo kutishwa tishwa wanakua Kama kondoo mwisho wa siku tunakua na taifa la wajinga
Asante Kwa kutuelewesha lakini watz wengi ni waogaWanajeshi wengi huwa hawajui sheria atakunyanyasa akikutana na wewe ambae umelelewa kwenye misingi ya uoga uoga ila ukikomaa nae mwisho huwa wanaomba radhi na hata fidia unalipwa maana anajua kazi yake inaenda kuharibika
Kuna askri mmoja wa jwtz private ndugu yake aligongwa na pikipiki baada ya kugongwa na pikipik kesi ilienda hadi mahakamani kesi ikaisha kwa maamuzi ya mahakama lakini aliegongwa akawa bado anaendelea na matatibabu.
Jamaa huyo private wa jwtz akiwa likizo alichoamua kukifanya akiwa yupo likizo akaenda kumkamata yule jamaa aliemgonga ndugu yake na baada ya kumkamata akaenda kumfungia kwao hilo Ni kosa la kwanza alifanya kinyume na sheria(utekaji)
Kosa la pili akiwa anamuhoji akampiga yule jamaa akishinikiza kuwa jamaa amuhudumie mgonjwa wao hilo ni kosa la pili (shambulio la kudhuru mwili) kilichotokea hapo ni kuwa ndugu wa yule ndugu yao ambae amefanyiwa hivyo walikua wanajua haki zao wakakusanya ushahidi wote na mashahidi wakawepo ndugu yao alivyoaachiwa tu akiwa na majeraha wakaenda kuchukua pf 3 polisi ikaenda kuthibishwa na daktari kuwa jamaa kweli kashambuliwa na kapata madhara (hapa tayari shahidi wa 3 ambae ni daktari kapatikana)
Baada ya kutoka hospitali Sasa wakaenda kufungua kesi ya shambulio polisi kwakua ushahidi wote upo polisi ikabidi waende kumkatamta katika kumuhoji kumbe kweli alikua ni Askari wa jwtz, kilichotokea hapo taarifa ikatumwa kikosini kwake, utaratibu ulivyo ni kuwa Askari yeyote hapelekwi mahakama za kawaida kwa makosa ya jinai hadi kwanza apitie mahakama za kijeshi na afukuzwe kwanza kazi ndo apelekwe akiwa kama raia wa kawaida
Hali ilipofikia hapo na ndugu wa yule mwanajeshi wakaona kibarua cha mtoto wao kinaenda kuharibika ikabidi wajishushe wakaenda kuomba msamaha kwa yule alieshambuliwa wakabembeleza sana ili aifute hiyo kesi mwisho jamaa alikubali akapokea fidia lakini muda huo yule private wa jeshi kashakaa lockup ya polisi siku 6 maana utaratibu ilikua kikosini kwake ndo waje wamchukue lakin hawakuja kwa siku zote 6
Baadae kesi ilifutwa lakin Kama jamaa wangekomaa nae alikua anaenda kufukuzwa kazi kwasababu ameiingilia hadi mahakama kwa kesi ambayo ilishatolewa maamuzi,lakin pia alifanya makosa ya jinai kuteka na kushambulia
Sasa watu wanatakiwa wajue haki zao na siyo kutishwa tishwa wanakua Kama kondoo mwisho wa siku tunakua na taifa la wajinga
Ndio Mimi huyo😀Huyo paka mwenye lips nini sijui kila nikumuona ananivunja mbavu kichizi
Wali kufanyaje jaman tuambie😀😀😀Nina matukio mawili niliokutana na hao jamaa.
Kwa kifupii sitaki hata kuwasikiaa.
vijana wa JKT nao wakajioba Masoja?Tulipokuwa jkt kuna ile siku wanaita msafara wa polini. Sasa kuna raia alikuwa anaendesha pikipiki ina mzigo pembeni yetu. Jamaa wakamchomolea funguo wakamwambia awafuate na kuiacha pikipiki hawaezi. Ikabidi mwamba asukume.
Tupe mkasa mzima jombaa😂Kwenye pitapita zangu nikaingia kwenye eneo la Jeshi kukata majani ya kulisha ng'ombe. Mbele yangu kulikuwa na maembe dodo yanatamanisha sana. Sasa mimi sikujua kama ni eneo la jeshi.
Nikaenda chini ya embe dodo nikaanza kuyapopoa maembe.
Muda kidogo naona pale nilipoacha mkokoteni wa kubebea majani kuna mtu amekaa na magwanda, huku anazuga anaongea na simu.
Oya, siisahau ile siku.
Duh! 😂😂Hawa Jamaa usiombe uingie kwenye 18 zao, utajuta kuwafahamu.
Siku moja Tulikuwa kwenye foleni ya kuelekea mjini, kuna jamaa wa Lori akaziba geti la kuingilia pale kambi ya Abdallah Twalipo uhasibu. MP akamfuata kistaarabu kabisa "mambo vipi Kaka?" Jamaa akaitikia "Safi kabisa afande". Afande akamuuliza hapa uliposimama si unajua Kama ni getini? Mwamba kwa kujiamini kabisa akaitikia ndiyo afande ila tatizo foleni haitembei, Sina jinsi, samahani sana.
Kama kawaida ya wanajeshi kujifanya wastaarabu kwenye matukio ya aina hii. Afande akamwambia sasa ndugu kwa kuwa foleni haiendi shuka tu hapa upumzike tupige stori, foleni ikitembea utaendelea na safari yako. Dereva wa Lori kwa mbwembwe akafungua mlango ashuke eti apumzike na wanajeshi. Hapo ndiyo 'ntiti' ulipoanza!!
MP akamwambia "kaka sijasema ushuke mlangoni, shukia dirishani" lilikuwa ni tukio la kuchekesha Sana kwa sisi wapita njia ila kwa lililomtokea lilikuwa ni tukio mbaya na la kufedhehesha.
Picha linaanza,gari anayoendesha jamaa ni Scania R 420,Chuma mpya kabisa ya Transit alafu imepanda hewani Kama farasi, imebeba mafuta inaelekea nje. Gari ikisimama dereva unamwona yule kuleee ghorofani. Sasa vuta picha dereva ameambiwa ashuke kupitia dirisha badala ya mlangoni. Sisi wengine wa pembeni Tulicheka Sana maana jamaa kwanza ni bonge alafu ili ashuke kwa kutumia dirisha inabidi ajikusanye awe Kama fungu la nyanya Kisha ndiyo atoe miguu nje. Ilimchukua karibia dakika 15 kushuka. Wakati huo MP alikuwa siriazi hacheki wala haongei. Yeye anamsubiri jamaa tu ashuke wapige stori. Dereva akadondoka chini Kama mzigo wa viazi mbatata vya Mbeya..Tiii!!
Suruali yote imechanika kwenye maungio ya miguu. Aliposhuka huku kijasho kinamtoka mjeda akaanza kupiga nae stori Kama hakuna kilichotokea "naona chuma imeshakunywa wese inasepa?" Dereva kinyonge akajibu yeah inaelekea Ndola, Zambia. Wakapiga stori Mara foleni ikafunguka magari yakaanza kutembea. Afande akamwambia dereva Sasa unaweza kwenda tu maana gari zinatembea. Dereva akatoa shukrani Kisha akaelekea kwenye gari yake asepe.
Cha ajabu wakati dereva anafungua mlango Mjeda akamwambia mzee baba si tulikubaliana tunapitia dirishani? Ahahahhaha kazi ya kupanda dirishani ikaanza tena. Nina uhakika Yule dereva alimtukana mjeda matusi yote ya hapa duniani ila kimoyomoyo.. Ile siku yule dereva hataisahau kamwe maishani.
Unakumbuka kisa chochote Cha wanajeshi na adhabu zao kwa raia pindi raia akijichanganya kwenye anga zao?
Kilikukuta Nini dada?Nina matukio mawili niliokutana na hao jamaa.
Kwa kifupii sitaki hata kuwasikiaa.
Unafika kwa wakubwa zake ukiwa ushaumia, inasaidia nini sasa??Afande akileta upuuzi huo unamgomea tu, maana ni kinyume cha maadili ya kazi za jeshi. Hawezi kukufanya lolote. Hawezi kukuua na kama Akikudhuru unamfikisha kwa wakubwa wake tu , uone kama kibarua chake hakijaota nyasi.
Tatizo watu hawajui haki zao na wanaogopa magwanda. Lakini nidhamu za kijeshi zinakataza kabisa askari kuonea raia.
Wanajeshi wanachangamsha mtaa na lazma waogopeke, we jipe moyo siku uingie anga zao ndo utajua hujui.vijana wa JKT nao wakajioba Masoja?
walikufuma ehNina matukio mawili niliokutana na hao jamaa.
Kwa kifupii sitaki hata kuwasikiaa.
Ulishawahi kufa mara ngapi??Mimi sikubaligi upumbavu, huyo mwanajeshi mshamba na njaa Kali angekuja kwangu aone, ningevomjibu dry sitishiwi bunduki Mimi, Wala sitishiwi kifo hata siku moja
Angeenda ailete hata Kambi nzima, siogopagi kufa Mimi, liwalo na liwe na ndo wangejua kweli hii Dunia kuna watu watata, sio Dunia, Tanzania kuna watu watata. Mimi ndio MWAMBA.
Kwanza ukifika kuna wakukusikiliza mwache ajipe moyo, ukiona unasikilizwa ujue hyo ni critical issue kweli kweli la sivyo ukifika ataitwa "afande maro mbona kijana amechafuka embu mpereke akaoge" hapo ujue unaenda kuoga vumbiUnafika kwa wakubwa zake ukiwa ushaumia, inasaidia nini sasa??