Kumbe zilisha anza taarifa zingine kabla ya hiziWalijaribu kuuficha sana..mara kafa na depression usingizini..
Ohh mara rafiki yake apost nakumbuka ulisali sana usiku kabla hujalala kumbe ndo unaniaga.
Ili kumstiri
Huyu mlezi wao Sasa 🙆🙆
Labda yamemshinda akaona isiwe shida,kifua kinamuelemea.
Haki kwaajili ya binti
Tukubaliane tu kwamba uwasilishaji wa taarifa yake umekaa kiukakasi.Tusijaji sana, huenda anatengeneza awareness kwa vyombo vya dola na jamii ijue nini kinaendelea