Thanx mdau,ila ningepata syllubus ingenisaidia zaidi,maana hata chuo kikuu kuna calculus,matrix,statistics etc,i just want 2 know the boundaries,as far as add.maths is concernedBaadhi ya topics zilzomo ni trignometry,matrix,statistics,calculas etc.sio ngumu kama ukiwa seriouz.
umenikumbusha mbali sana mkuu.nilifaulu additional maths zaidi ya basic maths.
Daaa,kweli jf hakuna lisilowezekana,nashukuru sana mkuu,pamoja sanaHii nimeipata kutoka hapa,
Tanzania Secondary-Form III Additional Mathematics Syllabus-Index
TANZANIA SECONDARY ADDITIONAL MATHEMATICS CURRICULUM
OBJECTIVES
1. SETS (Operations involving three sets, De Morgans Laws, Number of members in a set)
2.LOGIC (Statements/Prepositions, Truth Tables, Arguments)
3. ALGEBRA (Simultaneous equations, Linear Equations in Three Variables, Roots of Quadratic Equations, The Remainder Theorem)
4. FUNCTIONS (Rational Functions, Domain of a rational function, Basic operations on rational functions, Graphs of rational functions, Horizontal and vertical asymptotes)
5. STATISTICS (Representation of Data, Sigma notation, Measures of central tendency, Measure of Dispersion)
6. TRIGONOMENTRY (The General Angle and Pythagoras Theorem, Trigonometrical Identities, Trigonometrical Equations)
7. DIFFERENTIATION (The Derivative, Techniques of Differentiation, Application of the Derivative)
Pia check hii Pdf file (http://www.moe.gov.sg/education/syllabuses/sciences/files/maths-secondary.pdf) kuanzia page 33
Maths for life!
Straight forward, hakuna kuuza vyai.
Unajua dada/kaka,
Hata mie niliamini maths ni somo rahisi sana...ila nashangaa mizinga kibao ambayo vijana wanabeba...
Hivi, ina maana kwamba vijana wetu wamekuwa vichwa vya panzi au walimu ndo vihiyo??
Babu DC!!
Yaani Babu DC
Hapa kuna tatizo la wanafunzi wenyewe
Tatizo la waalimu pia.
Nakumbukuka nikiwa kidato cha 1 na 2 kidogo nikimbie somo
Sababu ya mwalimu
Lakini nilipopelekwa kwenye Add Math
Nikarudisha Interest kwa nguvu zote.
Dah, nasikitika sana kuona ujuzi wangu unakufa bure
Uzee nyambaf sana
Natamani nipate sehemu nijitolee jumamosi
Na jamii imelifanya hili somo kuwa kama gumu sana
Wanawaaminisha watoto kuwa ni gumu
Mie vijana wangu wakifeli hili somo huwa naghafilika siku nzima.