Basi usichuke ya Vivian wa Fairway...nshamuwahi.... HoMe Boys ya Wazo?.........Hapo kuna Fatuma nshachukua namba zake japokuwa najua ntashea na Michael wa Wazo Cement.......Jamaa kampangishia room kabisa.
duh, kwa hiyo sisi tusioenda bar na kujikuta tunapiga tiz viwanjani na mechi kibao kila wiki tunamic mambo kibao eh? dah lkn kwa mtazamo, ngoja mimi nibaki tu na addition yangu ya kusukuma kabumbu...suits me better