bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,358
- 6,810
Sote tuko kama mafisi tunasubiri mkono wa binaadamu uanguke tupate mlo
Ukitaka kuua nyoka PIGA kichwani.....Aluta continue, bado Pemba sasa na itawadia tu! Just a matter of time.
Kuchinjwa lazima iwe ni shingo, mkia ni kukata. Hakuna kazi yoyote kuwajua Wapemba na Wazanzibari, mtandao ni ulimi au sikio tu, ubaguzi, wivu na choyo ndio zao. Hakuna kazi ati kuwajua watu hawa, wanajionyesha wazi. Bila Tanganyika hakuna Zanzibar, tena nawaonea huruma kwa jinsi mnavyolelewa bila Tanzania meshakwisha. Sijapata kuona kanchi kana viongozi wengi kama SMZ, jimbo kama kata kule bara lina Mbunge na Mwakilishi, wote ni walaji tu wakisubiri huruma ya Tanzania kuwalea. Usitake tuseme yote
Mimi nahitaji watu angalau kama wewe ili nipate kuweka 'NONDO' zangu. Wachangiaji wengine wote wanachangia utumbo tu; hakuna cha maana hata kimoja, kuwajibishana na watu kama hao ni sawa na kunoa kisu kikali ambacho unakusudia kukichinjia ng'ombe na badala yake kisu hicho ukakijaribu kwa kukatia migomba!
anaanzisha thread halafu yeye mwenyewe ndio mchangiaji mkuu teh teh teh.Namuunga mkono yule aliyesema akili za kigala bhana biskuti wanasema ni mwili
bado wapemba au na MZEE WA SAWASWA mwenyewe
CCM wataisikilizia CHADEMA kwenye bomba
Safari ni hatua, naamini itafika tu huko Pemba kwani muasisi mwenyewe wa ADC ni wa hukohuko nina hakika lazima atataka iwe ngome yake.....sasa akifanikisha hili sijui ngome ya hao CUFitna itakuwa ipi? Nimepata fununu na Mara huko/Musoma wanaTIMKA.....hii yote ni ADC hii, Dah!
Mpemba mbishi;
Usijiabishe bure Zanzibar inanufaika sana na muungano huu hata Maalim Seif analifahamu hili ndio maana hawezi hata siku kudai kuuvunja muungano; kabla haujamwaga hizo nondo zako fanya ziara sehemu za Tanga na mikoa mingine ya bara utaona ni jinsi gani muungano huu unavyowalea wazinzibar; inaeleweka wazi mpo wachache wenye hulka ya kutaka tamaduni za kiarabu ihali hata huo uarabu wenyewe hamuujui; wenye haki ya kupiga kelele za muungano ni sisi wabara lakini kutokana na ustaarabu wetu tumenyamza kimya tunawaona nyie ni ndugu zetu wa damu; mpo vijana mnaotumiwa na mabwana zenu waliopo uarabuni lakini je hivi ni kweli waarabu wanawathamini kama nyie mnavyojikomba kwao?
Chama
Gongo la Mboto DSM
"Sio kila Mpemba anayetoka Pemba Wapemba hua wanamkubali, Wapemba wana mtu wao. Hauwezi tu kumuokota mtu yeyote ukawapelekea Wapemba na eti ukawaambia kua mtu huyu ni Mpemba mwenzenu munatakiwa mumkubali, katu Wapemba hawana sifa ya kufanya hivyo". Haya ni maneno ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!
Wapemba wale wa mwl. Nyerere si hawa wa leo, japo CUF wameonyesha dhamira yao ya kutaka kuendeleza usultani, nimeona post yako moja unazungumzia namna walivyo ji'expose nje ya Pemba, ni kweli na percent kubwa ya wananchi wa pemba kwa namna moja ama nyingine wanawezeshwa na ndugu na jamaa zao walo nje kama Uk, Arabuni na hata America. Tamaduni yao haiwezi kufa just like that lakini exposure wanayopata walotoka ndio huplay role kubwa kwa changes zinazotokea leo.
Usultani hauna nafasi tena na ndio maana CUF wanaweweseka hii leo. Mfano mdogo ni hapo jana Viongozi wa Juu kabisa wa cuf walipotumia Power yao kuzuia ule mkutano wa kujitoa kwa Wanachama usifanyike katika ukumbi wa Bwawani Hotel. End of a day mkutano ukafanyika tena katika ukumbi mzuri zaidi ya ule wa Bwawani.
Tukubaliane kwamba sio kila mpemba ni Mwanachama wa CUF hivyo basi