Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

mbasha mwana kulitafuta na mwana kuligeti
.
FB_IMG_1597057191072.jpeg
 
Raia wa hayo mataifa sio legelege kama raia wa nchi yako.
Pia level yao ya uelewa ni kubwa kuliko ya watanzania wenzako hapo Tanzania
Sio kila siku ni jumapili,Kama wameweza Malawi,je watz watakubali kuteseka tena 5 yrs
 
Sio kila siku ni jumapili,Kama wameweza Malawi,je watz watakubali kuteseka tena 5 yrs
1. Jeshi la polis la Malawi ni tofauti na jeshi la polisi la Tanganyika

2. Malawians walipambana kuipata tume huru, wakati huku Tanganyika wananchi wanawategemea wanasiasa wadai tume huru kwa niaba yao.

Hizo ndio changamoto za kuikwaimisha Tanzania isipate hayo unayoyatarajia.
 
Wakuuu huko Uwanja Wa taifa wasaniii wamezichapa live bila chenga baada Ya mbasha kumwiiita mchovu kuwa anavuta bangi.

Hakika kuna kitu hapa walioandaa hilo tamasha watakuwa wamejifunza kuwa wanachokifanya kinamchukiza MUNGU, watu kupigana live wakiwa wanatazamwa kwenye TV zaidi ya tano ni Aibu kubwa na hiii ni ishara Fulani kuwa MUNGU hayupo upande wenu na huenda mkakutwa na majanga zaidi.
sio ishu ya kuwa Mungu hayupo hapana....ni ujinga wao tu hao wawili kila mtu amekosea kwenye eneo lake..lakini wote wawili hawana ethics mbele za watu
 
Inawezekana Adam ali PRE-PLAN either kutafuta kiki!

Kuna mtu kasema Adam alimwita Mbasha kwenye na akasema kwamba Mbasha anakunywa sana maji ndio maana ni mweupe!! Hii tunajua ni kusema jamaa anajichubua! Kwanini unamwita mtu jukwaani tena kwa utani mbaya halafu yeye anakutania back tena kwa utani wa kawaida unampiga!!!

Watu kama Adam ata urafiki sitaki!! Lakini “wasela” kwenye issue kama hizi ndio wanakuwa wanatetewa hata kama wamefanya makosa ambayo yapo wazi!!
 
Wakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.

Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.

Ni tabia yao.. Tuwazowee tuu jamani
 
Back
Top Bottom