kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Hapana yangeitwa maandamanoChade' sidhani kama hata wangeruhusiwa kufanya ilo Tamasha, wangeambiwa lina maudhui ya kufanya kampeni nchi haiishagi double standard yaani full vituko..
Hapana yangeitwa maandamanoChade' sidhani kama hata wangeruhusiwa kufanya ilo Tamasha, wangeambiwa lina maudhui ya kufanya kampeni nchi haiishagi double standard yaani full vituko..
.mbasha mwana kulitafuta na mwana kuligeti
Una ubaridi weweChannel ten na vituo vingine vinaangaliwa na watu wenye roho na wanaoishi..msio na roho au mliokufa hamuwezi kuangalia.
Sio kila siku ni jumapili,Kama wameweza Malawi,je watz watakubali kuteseka tena 5 yrsRaia wa hayo mataifa sio legelege kama raia wa nchi yako.
Pia level yao ya uelewa ni kubwa kuliko ya watanzania wenzako hapo Tanzania
1. Jeshi la polis la Malawi ni tofauti na jeshi la polisi la TanganyikaSio kila siku ni jumapili,Kama wameweza Malawi,je watz watakubali kuteseka tena 5 yrs
mbona mwenzake kaongea kimashara tu kuwa adam ww bangi mbna hata mitaani tunaambiana sana hivo...ujinga tu na kushiba umaarufu ndo shida hiyoKumpiga bunda ndo sijaelewa
thts not good reply..just remind ur own heartNatamani wangeuana kbs
sio ishu ya kuwa Mungu hayupo hapana....ni ujinga wao tu hao wawili kila mtu amekosea kwenye eneo lake..lakini wote wawili hawana ethics mbele za watuWakuuu huko Uwanja Wa taifa wasaniii wamezichapa live bila chenga baada Ya mbasha kumwiiita mchovu kuwa anavuta bangi.
Hakika kuna kitu hapa walioandaa hilo tamasha watakuwa wamejifunza kuwa wanachokifanya kinamchukiza MUNGU, watu kupigana live wakiwa wanatazamwa kwenye TV zaidi ya tano ni Aibu kubwa na hiii ni ishara Fulani kuwa MUNGU hayupo upande wenu na huenda mkakutwa na majanga zaidi.
mbona mwenzake kaongea kimashara tu kuwa adam ww bangi mbna hata mitaani tunaambiana sana hivo...ujinga tu na kushiba umaarufu ndo shida hiyo
Hey!!!...thts not good reply..just remind ur own heart
Walikua wanafundisha namna ya kupiga puli bila kutumia sabuni wala mafuta mkuu.
HIYO MKUU HII NDIYO AFRIKA BWANA MABONDIA WANAINGIA KWENYE SIASA!
Dah nimecheka sana mbasha kaondoka kama hamna kilicho tokea.
Ni tabia yao.. Tuwazowee tuu jamaniWakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.
Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.
wakati kala mbata,dah,ila Napo sio poa sana fedheha.Dah nimecheka sana mbasha kaondoka kama hamna kilicho tokea.
Jinga wewe ccm ikitawala miaka1000 we utafaidika na Nini? We kapuku tu.Sirundi Burundi maana CCM bado inamiaka 1000 ya kuitawala Tanzania, sasa hofu ya nini mkuu?