Engineermsuya
Member
- May 23, 2011
- 32
- 7
Huyu wabunge wenzie wanasema is the most arrogant MP in the house. Anamfanyia fitna Ngeleja kwa kusubiri akalie kiti na mimi naona huyu naye inabidi naye aondoke kama wakati lile fagio la chuma litakalo pita
Huu umeme mizengwe na naona wote hawa waondoke tuu au wataturahisia sana kazi wakiachia ngazi tuu
Huu umeme mizengwe na naona wote hawa waondoke tuu au wataturahisia sana kazi wakiachia ngazi tuu