elly mkenda
Member
- Aug 5, 2012
- 7
- 0
Mkuu pokea 'LIKE'...
Leo niko kwenye mood nzuri ntachangia jumatatu
....Kwa hiyo maana nyingine ya umakini huo ni mwana CDM kutetea madhambi ya kiongozi wa CDM kwa gharama yoyote ile?
Mbona naona kma hatua ya Kamati Kuu ya CDM ni hasira kwa DIWANI wake kushiriki kumg'oa Meya asiyekubalika ,na ni fisadi.
CDM ikiacha kutetea uadilifu basi itakuwa haina tofauti na vyama vingine vyenye nia tu ya kutaka uongozi, hata kwa misingi isiyo faa.
Huyu dogo ana matatizo! ni mpu.uzi tu.sina cha kuongeza zaidi ya hicho.
Hivi kipindi tuliposhinda Arumeru, hawa madiwani walikuwa hawajafukuzwa?? Hacha kulea uzembe. Watu kama wewe ni dizaini ile, unagongewa demu wako, afu unajua, ila unaogopa kuachana nae, kisa anakupa ela ya kula. Utafikili wakati unazaliwa, uliandikiwa kuwa yeye ndiye atakulisha milele...
Chagulani mi nakujua sana ache kujidhalilisha usiombe radii, maana slaa ameapa lazima wakumalizie chini ili wenje spite bila kupingwa 2015' nenda cuf au ccm au ccm . Tukupe ubunge. Achana na chadema Chama cha wachaga na wamburu. Ungekuwa MCHAga usinge fukuzwa. Nakufahamu ulivyokuwa mwancdm mtiifu lakini Ndio hivyo tena basi tena, kawasalimu, chezea Chaga na mbulu wewe .
Eti huyu nae great thinker.
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi!!
Hivi hili litoto bado tu linataka kupimana uzito na Rasi wetu Dr.slaa? Hebu lijipime kwanza na unafiki wake na linazani eti lenyewe ni pekee ndani ya chama na wakati wapo wengi tu yani sasa hivi hakuna kubembeleza kwani ukileta ujuha CHADEMA inakupoteza tu.......kwani nilikuwa nalikubali sana that time kwenye siasa za Daruso mpaka nilikuwa naliamini kipindi kile litakuja kuwa sio linafiki lakini leo limeshavuta za magamba.
Kamati kuu ndiyo nini wenye maamuzi ni Mbowe na Dokta Slaa, pamoja na Lema, siyo mbunge lakini yumo kwenye kamati. Hawa ndiyo wenye chama.
Ni bora mara mia chama kikabaki na madiwani pia wabunge wachache wenye kujua wajibu wao kuliko kuwa na madiwani wengi wa aina ya Chagulani wanaodhani bila wao Chama hakipo. Ulimwengu wa hujuma na fitina tuwaachie CCM kwani wao ndio mabingwa kwa uovu.Kaka subiri matokeo ya uchaguzi 2015 kama tutakuwa wazima tutaona saizi mapema sana kusema matokeo ya kufukuza madiwani.
Hivi kipindi tuliposhinda Arumeru, hawa madiwani walikuwa hawajafukuzwa?? Hacha kulea uzembe. Watu kama wewe ni dizaini ile, unagongewa demu wako, afu unajua, ila unaogopa kuachana nae, kisa anakupa ela ya kula. Utafikili wakati unazaliwa, uliandikiwa kuwa yeye ndiye atakulisha milele...
Dogo ni Jembe tena Sana tu. Watu ambao wamefanikiwa Kuona kash kash zake kwenye vikao vya halmashauri na Jinsi alivyo Makini huwezi thubutu kukubaliana na hii taarifa ya kumwagwa.Ivi mtu anapokiri kosa na kujutia na kuomba kurudi kundini inakuwaje? Au ndo bas tena.....kama fursa hii ipo basi asamehewe wakuu. Inaonesha dogo ni jembe.
Chagulani mi nakujua sana ache kujidhalilisha usiombe radii, maana slaa ameapa lazima wakumalizie chini ili wenje spite bila kupingwa 2015' nenda cuf au ccm au ccm . Tukupe ubunge. Achana na chadema Chama cha wachaga na wamburu. Ungekuwa MCHAga usinge fukuzwa. Nakufahamu ulivyokuwa mwancdm mtiifu lakini Ndio hivyo tena basi tena, kawasalimu, chezea Chaga na mbulu wewe .
Dogo ni Jembe tena Sana tu. Watu ambao wamefanikiwa Kuona kash kash zake kwenye vikao vya halmashauri na Jinsi alivyo Makini huwezi thubutu kukubaliana na hii taarifa ya kumwagwa.Ivi mtu anapokiri kosa na kujutia na kuomba kurudi kundini inakuwaje? Au ndo bas tena.....kama fursa hii ipo basi asamehewe wakuu. Inaonesha dogo ni jembe.
Imekuwaje Kamwagwa basi nadhani alidhani kuwa jembe bila nidhamu za kiutendaji ingemsaidia hawajifunzi yaliyowapata akina Kafulila leo wameondolewa platform ya KIsiasa magazeti TV na radio zilizompamba kumwalika kwenye mijadala mbalimbali wamembwaga hayuko tena kurasa za mbele za magazetiDogo ni Jembe tena Sana tu. Watu ambao wamefanikiwa Kuona kash kash zake kwenye vikao vya halmashauri na Jinsi alivyo Makini huwezi thubutu kukubaliana na hii taarifa ya kumwagwa.
Mbaya ni Kuona watu wanamshitumu tu Adam kwa kosa la kubumbiwa na lenye fitna ndani yake.
Alafu