Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,144
- 8,789
Ndoa zina mambo jamani! Mkifikia hadi hatua ya kutukanana matusi ya kuwahusu ndugu sijui mamaako this, mamaako vile, duh uwezo tu wa Mungu unahitajikaYaani, huyo unamwacha abaki na mdomo wake mchafu
Eti, kwani anaweza kukulazimisha 🙄