Ad hoc cabinet meeting tommorrow morning

Ad hoc cabinet meeting tommorrow morning

Status
Not open for further replies.
Serikali imewaruhusu Waislam kukashifu Ukristo na Wakristo. Kwa wale ambao wanapita Ubungo , Manzese, Tabata na sehemu mbalimbali katika jiji la DSM waislam wametundika vipaza sauti wakiwatukana Wakristu na imani ya Kikristu. Serikali imekaa kimya. Sina mtu mwingine wa kumbebesha lawama bali Rais Kikwete.

Hivi kama Rais angekemea na kutaka vyombo vya dola vigefanya kazi ya kudhibiti miohadhara hii ya kuchochea uvunjifu wa amani. Haki ya kukashifu Ukristo na Wakristo wamepewa Waislam.

Ikumbukwe kwamba uvumilivu una mwisho. Nawaomba Waislam wakumbuke kitu kinaitwa CRUSADE.

Kama wewe unavyosikia uchungu dini yako ikikashifiwa ndio hivyo hivyo Waislamu wanasikia... fuatilia thread hii na nyingine humu JF kwa miaka mingi utaona ni namna gani Uislamu na Waislamu wamekuwa wakikashifiwa...naomba na wewe ukumbuke kitu kinaitwa Jihad!

ukitaka uheshimiwe wewe kuwa na heshima, heshima si ya upande mmoja!
 
Hapa hakuna kitu Cabinet hakuna la maana kwa vile viongozi ni hawa hawa wanaoilea hii hali.

Nadhani kuna haja ya kuitisha kikao cha dharura cha Bunge ambamo kuna sauti ya wananchi wote. Wakati huo kabla bunge halijaketi Kamishina wa Polisi Zanzibar, IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani wawe wamejiuzulu mapema ili bunge liangalie ni yupi anayefuata kung'olewa. Haya yakifanyika watu watafanya kazi zao ambazo tunawalipa mishahara kila mwezi.
 
​As for the information received from the reliable sources within the State House, there will be an ad hoc cabinet meeting tomorrow 19Th oct. 2012 , the main agenda being the religious chaos and uprisings both in Tanzania main land an Zanzibar.

My informer told me some of the Cabinet Members are really divided on the situation as most of them condemn the highest authority for nursing the situation for a long time with no proper methods to curb its recently impact.

nitwapa muhutasari kesho.

Mkuu taarifa kamili bado?
 
Huu ni upuuzi,yani wanasubiri Taifa limekwisha paraganyika ndio waitishe vikao.
 
Nakumbuka Enzi za Mwinyi, Jenerali Ulimwengu akiwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala alikabiliana nayo, lakini Mkuu wa Mkoa nakumbuka ni Mary Chips alitofautiana naye, ikaishia Jenerali Kupigwa Transfer Singida, naye akachomoa akaamua kuwa mjasiriamali. Big Up Jenerali uliona mbali. and down to Chips and the like.

Jenerali Ulimwengu alifanya maamuzi ya KIONGOZI ajuaye MAJUKUMU YAKE na maana yake halisi. Hawa wa sasa (PER DIEM WORSHIPERS) kuachia au kupoteza nafasi zao kwa nguvu\msukumo wa wananchi au kuwajibika wanaiona sawa na Kujinyonga kwa tai zao!

Twahitaji muujiza (kwa njaa zetu nina wasiwasi kama tuna guts za kufanya kinachotakiwa) wa kimawazo na KUTENDA-ili kuwe na mabadiliko ya kweli.
 


Kama wewe unavyosikia uchungu dini yako ikikashifiwa ndio hivyo hivyo Waislamu wanasikia... fuatilia thread hii na nyingine humu JF kwa miaka mingi utaona ni namna gani Uislamu na Waislamu wamekuwa wakikashifiwa...naomba na wewe ukumbuke kitu kinaitwa Jihad!

ukitaka uheshimiwe wewe kuwa na heshima, heshima si ya upande mmoja!

Sasa Kiraka vimkojo kidogo tu tena vya mtoto kwenye kuran ndio mtuchomee makanisa yetu? Mbona matusi yenu sisi hatuendi kubomoa misikiti yenu? au mnadhani hatuwezi
 
Last edited by a moderator:
Mwinyi ni kiongozi shupavu ndo maana aliweza kuikabili misukosuko yote ya kidini. Mwinyi alikuwa kiongozi wa Watanzania wote na hakuwa akiwalea wanaharakati(Magaidi) wa kiislamu kama tunavyoshuhudia kwa sasa. Mungu amlinde na kumuongezea maisha marefu mzee wetu Ali Hassan Mwinyi. Watanzania wataendelea kukupenda kwa kusimamia umoja badala ya siasa zenye kuegemea UDINI.

Mwinyi alikuwa dhaifu kama Kikwete,bahati Mwl. Nyerere alikuwa bado hai na taasisi za ulinzi na usalama zilikua na watumishi makini na wazalendo. Tunachoshuhudia leo ni failure ya vyombo vya usalama na utawala kwa ujumla. Wote rais na wakuu wa vyombo vya usalama wanabeba lawama zote za ambayo yametokea,na yatakayo fuata. Watawala wa sasa hawana uwezo wa kutatua mgogoro huu!
 
JK bwana , aliahidi kuwa atahakikisha watanzania wanamkumbuka baada ya kumaliza muda wake, NA KWELI TUTAMKUMBUKA SANA KWA KUTUACHIA ZAWADI HII 'adimu' YA UDINI.
 
ni kweli iwe, nawaza tu kwamba ingekuwaje kama ni wakristo wamechoma misikiti?
AKSANTE MKUU, PILI MIMI KM MWISLAM NAWASHUKURU SANA WAKRISTU KWA KUYACHUKULIA MATUKIO AYA KWA BUSARA KUBWA PIA SUBIRA, KWA KUWA SERIKALI INAWAJIBIKA KUWALINDA WANANCHI WAKE IVYO INAWAJIBIKA KWA KILA KHALI KUFIDIA UARIFU WALOFANYIWA WAKRISTU O.w SERIKALI LZM IPELEKWE MAHAKAMANI NA ATA THE HAGUE MAANA MAJAJICCM WAWEZA KUCHAKACHUa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom