Ad hoc cabinet meeting tommorrow morning

Status
Not open for further replies.
"RELIGION IS THE OPIUM OF THE POOR" - Karl Marx. Ukiona DINI inashamiri sana ujue kwamba jamii hiyo kuna ufukara na ujinga wa kutisha. Secondly ukiona mtu ana hoja zenye misingi ya kidini, ujue kuwa kichwani amefilisika kabisa. Brain activity is 0.
 
the cabinet sitting under JK? what do you expect? Wataishia kutoa tamko tu.
 
the damage is already done..instead of wasting our tax money on food and refreshment,why don't someone shut down that radical hate preaching imaan radio.,that would be a great favor to peace loving tanzanians
 
Serikali imewaruhusu Waislam kukashifu Ukristo na Wakristo. Kwa wale ambao wanapita Ubungo , Manzese, Tabata na sehemu mbalimbali katika jiji la DSM waislam wametundika vipaza sauti wakiwatukana Wakristu na imani ya Kikristu. Serikali imekaa kimya. Sina mtu mwingine wa kumbebesha lawama bali Rais Kikwete.

Hivi kama Rais angekemea na kutaka vyombo vya dola vigefanya kazi ya kudhibiti miohadhara hii ya kuchochea uvunjifu wa amani. Haki ya kukashifu Ukristo na Wakristo wamepewa Waislam.

Ikumbukwe kwamba uvumilivu una mwisho. Nawaomba Waislam wakumbuke kitu kinaitwa CRUSADE.
 
Vipi kama baadhi ya wakuu wanahisia hizihizo za kuonewa na kunyanyaswa na Wakristu wanatamani kama Wakristo wote watoweke?
 
Hivi kuna lolote hapo baraza lenye mgawanyiko chini ya mzee dhaifu wa magogoni na mdogo wake mzee wa kulia.
 
... In retrospect, pairing of JK and Lowassa was not so bad after all.
 
Wameiacha redio imaan ikaeneza chuki kwa wananchi sasa tunavuna matunda, sisi tukiwa tunaingia jijini Dar tunakaribishwa ubungo na kaseti za udini, sometimes unaweza usiamini kama nchi ina serikali.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
​As for the information received from the reliable sources within the State House, there will be an ad hoc cabinet meeting tomorrow 19Th oct. 2012 , the main agenda being the religious chaos and uprisings both in Tanzania main land an Zanzibar.

My informer told me some of the Cabinet Members are really divided on the situation as most of them condemn the highest authority for nursing the situation for a long time with no proper methods to curb its recently impact.

nitwapa muhutasari kesho.

Hapo sijapaelewa kabisa.
 
This government is fully responsible for these religious chaos happening in Tanzania.
It is the responsibility of the government to protect its citizens and properties, whether these citizens they are christians or Moslems. It is really surprising that these evil acts of few religious fanatics against another religion are happening and continuing to happen without any strong statement from the government! Is this government observing a rule of law?

The government is not taking even the minimum responsibility to protect the churches against these few religious fanatics. Is the government waiting for religious war when the Christians decide to defend themselves?

Despite its weakness this government should now wake up and act, otherwise this nation is soon going into bloodshed one will never forget!
 
MIMI SILII NA JK nalia na usalama wa taifa tena kuna ndugu zetu wanafanya kazi uwt na wametajirika kwa kodi zetu lakini kukemea haya maovu waliziba masikio sasa.mimmba imekomaa na tayari uchungu wa kujifungua unasikika kwambali mtoto tunamtarajia wa kiarabu ataitwa MAUAJI YA KIMBARI
 
A foolish person can not learn from mistakes of himself/herself and others. He/She always wants to repeat the same mistakes and face the consequences! What is happening around the world is a lesson to our political leeaders allowing such stupidity to grow to that level with their eyes open it question their inteligency level!
 
Kama wameshagawanyika unategemea maamuzi gani wakati serikali imeruhusu redio imaani, waislamu kusali kwakutumia biblia wakati wao nahisi wakisikia wakristo wanaendesha ibada kwakutumia quran sijui itakuwaje.

Wawejibisheni wote si askari tu bali wakuu wa idara mbalimbali waliokuwa wakiruhusu mihadhara ya kichochezi mahala pasipohusu hayo tena mbaya zaidi mihadhara hiyo imehudhuriwa na kuchagizwa na hoja za wanaoitwa wahadhiri

Huwa inaniuma sana ninapopita mida ya jioni maeneo ya Mwenge stand, au ubungo mataa na kukuta muhadhara wa waislamu ukiendelea ambapo mada kuu huwa ni kashfa dhidi ya ukristo. Muda wote huwa wanajadiri ukristo na Hasa Maisha ya Yesu Kristo. Kuna muda wanafikia kusema Yesu alikuwa shoga n.k. Sasa cha kujiuliza Kama na sisi wakristo tungeamua kuchukua hatua nadhani amani ingetoweka.
Inatia kichefuchefu sana
 
Huu mfumo ccm ni mfumo uliokufa....hapo utaona 80% ya wana ccm wamefurahi kwasababu inaprove failure ya kikwete....
 
​As for the information received from the reliable sources within the State House, there will be an ad hoc cabinet meeting tomorrow 19Th oct. 2012 , the main agenda being the religious chaos and uprisings both in Tanzania main land an Zanzibar.

My informer told me some of the Cabinet Members are really divided on the situation as most of them condemn the highest authority for nursing the situation for a long time with no proper methods to curb its recently impact.y

nitwapa muhutasari kesho.

phd,
tupatie kwanza taarifa ya kamati ya ngwilizi kama ulivyotuahidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom