Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
same to you AD, stay blessed
Mkuu nyie bado hamjaanza kusherekeaAsante sana ad!
Furaha na baraka za mwaka mpya kwako na marafiki wote wa jf!
EMT aisee ulikuwa umepotelea wapi Krismasi sikukuona kabisa...lol..yule mbuzi niliyekuwekea bahati mbaya ameishaliwa
Hapana bado sijaanza kabisa kunywa nilikuwa naficha tu baadhi namiminina kwenye jug ntaanza kunywa mwaka mpya utapoingiaNimeambiwa umeishaanza kunywa vinywaji vyetu usije ukatufikisha maboksi na chupa tupu tu...lol
Hahahahaha!! Mkuu sikuweza kuvumilia kwa kweli maana kila saa mate yalikuwa yananitoka kwahiyo nakula portion kidogo kidogo hadi ameisha....leo nitakuwekea mwingine tena..lolAisee kama yule mbuzi umemla mzima mzima then you're "unimportant, irrelevant and I will have an interest in increasing tensions with you or making you a bitter enemy." - per Ehud Barack. I am sure kidari huwa kinaliwa mwaka mpya.
Ngoja tuwe makini...Hapana bado sijaanza kabisa kunywa nilikuwa naficha tu baadhi namiminina kwenye jug ntaanza kunywa mwaka mpya utapoingia
:lol::lol::lol:....Hi mpya Boss..wapi hapo umewaonanaona watu wamevaa nguo za sikukuu lol
kwani ni hii ina nguo zake? lol
Sweeeet!!!! im having a few for you at the moment hahahha bring on 2012!!!!! xx
Nakupitia baadae ila tukifika kwenye party usinitoroke..
Jipambe vizuri mama sawa...:eyebrows:Heheheeh. . ,UNALO!!
lol..happy new year
Nimeambiwa umeishaanza kunywa vinywaji vyetu usije ukatufikisha maboksi na chupa tupu tu...lol
Jipambe vizuri mama sawa...:eyebrows:
Umeishaenda kununua Tandale Mall..itabidi tubebe hata konyagi 2 za chupa na viroba
hatutafurahia kama wamemaliza kinywaji