witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
Mweeh kweli dear asee, umemuona usichanani alivyokuwa kisu lakini?Utafika huko tu ndugu
Kweli uzee nomaz
Mweeh kweli dear asee, umemuona usichanani alivyokuwa kisu lakini?Utafika huko tu ndugu
Baelish ni balaa....Lord baelish,T bg,Ceasar na Usher sio watu
Duuh simfahamu asee, japo ni mpenzi wa moviesAlikua mzuri mno..kafaidi ujana na uzee.. afuu mbabe sana ndo nachompenda
Yaaan linahukumu kama nani sijui, ovyoo sana ptuuuKwann asifike mate.. hatujue hatma zetu
Oops ngoja nimsake nowYupo kajaa tele kwenye series ya GOT, very smart and badAss
88 umeitoa wapi?Ubaya wake nini? She aged graceful ,a beautiful granny at 88yrs .
Blessed in every way kusema uzee mbaya lazima uwe na kitu kimoja cha ovyo sana katika peraonality yako sipati picha unavyowaangalia bibi na babu zako do you feel the love for them?
Na kupotosha juu, kashampa umri wa miaka 88.Yaan mineno inavyokutoka mtoto wa kiume utadhani mwajuma ndala ndefu mfyuu
Kama hujaelewa nilichokimaanisha si ungeuliza kama wanaume wengine rijali hapo juu? Lione
Ha ha ha...hajielewi kabisaNa kupotosha juu, kashampa umri wa miaka 88.
88 umeitoa wapi?