Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 189
Ku-act ni kuigiza.
Leo hii tuna waigizaji wengi sana nchini, na mabo machache yanafanyika kiukweli.
Tuanze na Mkuu wetu wa Nchi-Presidaa
Acting Presidaa daima yuko safarini, ana act kuwa presidaa, na huko Mjengoni Magogoni sijui nani ana Act nafasi yake daima anapokuwa hayupo.
Siku ana zokaa ofisini na kufikiria mambo magumu zinahesabika-Acting Presidaa.
Acting PM, Mtoto wa Mkulima,daima ana act kufuatilia hili na lile.La Kilimo Kwanza ndo haswaa!Ana act wakulima watawezeshwa na power tiller, mwisho wanaofaidika ni suppliers wa power tiller-wahindi to be exact.Machinga ndo wamekuwaa ni jeshi la vijana wasio na kazi.Acting Pm hapa.
Waziri Nishati Ngeleja ndo usiseme.Acting kwa kwenda mbele.Umeme utakuwa historia imekuwa act ya kila wiki.Toka mwaka 2006 hii act inaendelea, mwisho wake hauonekani.
Wizara ya Sheria, hapa ndo kuna bonge la act.EPA,KAGODA,RICHMOND na hata RADA havikuwahi kuwepo, hii act kali.Waingereza wamesema mmeibiwa, sisi tuanadai hatujui nani katuibia lakini turudishie kilichoibiwa.ACT hapa hatujui kilichoibiwa kilitokatokaje.
Bonge la act.
Bungeni ndo usiseme.Kuna act za kulala,act za kutoa nakurudisha shilingi, halimradi burudani tupu.
Wananchi nao haturudi nyuma, du tuna act.Kuvaa masuti ndani ya mashangingi na kuelekea makazini toka saa 11 asubuhi na kufika kazini saa 3.Bonge la act, utafikiri tuko bize.Posho kede kede
Mswahili wa mtaani na mlala hoi yeye hana act.Jua na vumbi siyo act.Ile njaa ya mchana toka kwa mkulima hadi mmachinga si act.
Akiugua hapo maisha ni ya wasi wasi si act hilo-anaweza kufa na uchungu hapo hauna act.
Du! hili act kiboko
Leo hii tuna waigizaji wengi sana nchini, na mabo machache yanafanyika kiukweli.
Tuanze na Mkuu wetu wa Nchi-Presidaa
Acting Presidaa daima yuko safarini, ana act kuwa presidaa, na huko Mjengoni Magogoni sijui nani ana Act nafasi yake daima anapokuwa hayupo.
Siku ana zokaa ofisini na kufikiria mambo magumu zinahesabika-Acting Presidaa.
Acting PM, Mtoto wa Mkulima,daima ana act kufuatilia hili na lile.La Kilimo Kwanza ndo haswaa!Ana act wakulima watawezeshwa na power tiller, mwisho wanaofaidika ni suppliers wa power tiller-wahindi to be exact.Machinga ndo wamekuwaa ni jeshi la vijana wasio na kazi.Acting Pm hapa.
Waziri Nishati Ngeleja ndo usiseme.Acting kwa kwenda mbele.Umeme utakuwa historia imekuwa act ya kila wiki.Toka mwaka 2006 hii act inaendelea, mwisho wake hauonekani.
Wizara ya Sheria, hapa ndo kuna bonge la act.EPA,KAGODA,RICHMOND na hata RADA havikuwahi kuwepo, hii act kali.Waingereza wamesema mmeibiwa, sisi tuanadai hatujui nani katuibia lakini turudishie kilichoibiwa.ACT hapa hatujui kilichoibiwa kilitokatokaje.
Bonge la act.
Bungeni ndo usiseme.Kuna act za kulala,act za kutoa nakurudisha shilingi, halimradi burudani tupu.
Wananchi nao haturudi nyuma, du tuna act.Kuvaa masuti ndani ya mashangingi na kuelekea makazini toka saa 11 asubuhi na kufika kazini saa 3.Bonge la act, utafikiri tuko bize.Posho kede kede
Mswahili wa mtaani na mlala hoi yeye hana act.Jua na vumbi siyo act.Ile njaa ya mchana toka kwa mkulima hadi mmachinga si act.
Akiugua hapo maisha ni ya wasi wasi si act hilo-anaweza kufa na uchungu hapo hauna act.
Du! hili act kiboko