ACT yafunika Kigoma

ACT yafunika Kigoma

Waha walio wengi ni watu werevu, hawanyumbishwi hovyo hoyvo, Zitto na CCM mtashindwa tu kwa nguvu za Allah!! mnawahadaa wananchi ili kuchelewesha mabadiliko wanayotayaka 2015.

Kwa hiyo umeona mtelemko kukapeleka ka ACT kako huko kwenu Mwandiga kuwadanganya watu wa kwenu siyo!!
 
Nawahurumia sana watu wa Kigoma. Kuna mtu aliwadanganya kuwa ataigeuza Kigoma kuwa kama Dubai nao wakaingia mkenge mpaka leo ni hadithi. Leo hii wanakuja danganywa na hadaa za kitoto nao wanakubali.
Shauri yao.
 
Nili ingia chadema kwa hiari yangu nimejiunga ACT kwa hiari yangu! Mtu mwingine asitake kuingilia maamuzi yangu! Wafuasi wa chama cha kikabira na Ukanda heshimuni uhuru binafsi wa Watu
 
kwa utafiti mdogo vijan wengi kwenye mitndao wko mkundi mwili, la kwnza wachumia tumbo ambao wanpta ruzuku ya vocha za vifurushi kuhabikia ccm na ubaya wake ili ijisafishe mitandaoni wakati umma mpana ukitaabika kwa shida.Kundi la pili ni wana usalama ambao wamepewa jukumu kudhoofisha upinzani ili ccm ionekane ina nguvu.Kundi hili siku za nyuma wakati wakati wa baraza la usalama la taifa lilipokua ccm walikua wana ccm kwa mwavuli wa makatibu wasaidizi huku wakifanya kazi za usalama wa taifa.kulinda ccm kwa sasa kazi hiyo kubwa ndo mamluki kwenye vyama vya upinzani ;na ndo washabiki wakufurahia anguko la vyama vya upinzani.
kwahiyo kwa washirika na wachambuzi wa siasa,hili si jipya kwa vijana wa mitandaoni kutowahurumia watanzania wanaoteseka, bali kufurahia kuona vyama vyauinzani vinadhoofika na kufa.
 
Gahahaha chama cha wasaliti na ukabila et mwenyekiti atatoka kugoma kumbe hamna democrasia mshapanga mwenyekiti atoke wapi
 
Nili ingia chadema kwa hiari yangu nimejiunga ACT kwa hiari yangu! Mtu mwingine asitake kuingilia maamuzi yangu! Wafuasi wa chama cha kikabira na Ukanda heshimuni uhuru binafsi wa Watu

Kweli nimeamini ukiwa msukule hujitambui. Sasa umeruka mkojo ukakanyaga mavi tupu. Ukanda ukabila ubinafsi ndo huko ulikokwenda kwa hiari yako. Yani juzi mwigamba anasema mwenyekiti ni mha yan zito kabla ya uchaguzi wa kidemocrasia huru kama mnavyojipambanua ila wewe bado hujijui? Enyi watanzania ni nani aliye waloga?
 
Siyo siri mimi ni muha ila kwenye sakata la ACT ZITTO unajiharibia na kujishusha hadhi.Kwanza unatuhumiwa kuwa nyuma ya ACT wewe unakana,muda huo huo wakinaMwigamba nguvu zote wamewekeza Kigoma nawanatamka waziwaz eti hiki ni chama cha Zitto ili watu wajiunge,kwangu mimi nauona huu ni upuuzi,je huu si ukabila?wanawapigia watu kelele kuwa Chadema ni chakikanda na ukabila,,mbona ninyi ACT ndiyo mmekuja kwa kasi juu ya ukanda na ukabila?Kwahyo hiki ndiyo mnataka kiwe chama cha Kigoma?Naona hamtujui WAHA ninyi!

mimi siyo muumini wa act, ila hakuna muha jinga kama wewe, zzk ni binadamu kama wengine anayeweza kufanya maamuzi anayoyataka, wangapi ndani ya chadema wametoka vyama vingine? Mbona hawakuitwa wasaliti huko walikotoka?. Zitto chadema wamesema hawamtaki kama kweli yeye ndio kakianzisha chama hicho usaliti wake uko wapi? Mbona wakina mtei hawakuitwa wasaliti? Acha utumwa wa fikra.
 
Back
Top Bottom