arola54
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 664
- 142
mhh! mbona wamekaa mbali si wanaangalia mpira hawa? maana hata mhutubiaji haonekani
Ulitaka wakakae kwenye udongo na michanga? Acha ulofa.
mhh! mbona wamekaa mbali si wanaangalia mpira hawa? maana hata mhutubiaji haonekani
Hapo ndio kufunika?
Machadema bwana hayakosi maneno. Juzi mlikuwa mnapiga kelele ohhho chama cha mitandao leo tena unasema mikutano sio issue!
Uwanja wa Community ulitapika jana! Kile chama cha ukabira na udini kisahau kigoma
Chama kipya na kinachokua kwa kasi cha ACT kinaendelea na ziara ya ujenzi wa chama. Hizi ni picha za mkutano wa Kasulu Kigoma.
Karibuni mtuunge mkono kwa maslahi ya nchi yetu.
![]()
Njano5
mbona hatuoni bendera ya hicho chama? au wamekopy baadhi ya mikutano ya vyama vingine na kujifanya ni chama cha ACT ( chama cha maigizo cha lumumba)
View attachment 172964
Siku zote nilitamani chama mbadala kitikea,kile chama cha Ukanda,Ukabira,Udini,Ujanjaunja kilmepoteza dila!!!
Nigeria wameanzisha bokoharam sasa Tanzania hili group serikari isipoangalia watateka watoto wa shule boko haram
ACT ni lazima ipate watu wengi Kigoma kwa vile ina mlengo wa Kigoma inawahitaji watu wa Kigoma ndiyo maana haihitaji uwepo wa vyama vingine Kigoma.ACT kupokelewa na umati mkubwa Kigoma siyo tatizo wala siyo mafanikio.Huwezi ukapima mafanikio ya ACT kwa kutumia mkoa wa Kigoma wakati Kigoma ndiyo Nyumbani kwake wanakigoma ni lazima wampokee mtoto wao kwa vifijo na nderemo.
Mmefunika nini bokoharam
Mtoto wa mwenzio bokoharam, wa kwako gaidi furani. Ninyi CDM mmejibomoa wenyewe kwa ajili ya kutotaka ushauri toka wadau!
Mimi nipo dar naifagilia ACT
View attachment 172964
Siku zote nilitamani chama mbadala kitikea,kile chama cha Ukanda,Ukabira,Udini,Ujanjaunja kilmepoteza dila!!!