ACT Wazalendo yalaani Serikali kuwapiga danadana wanafunzi wa vyuo kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,502
51,097
IMG_20191218_204801.jpg
IMG_20191218_204806.jpg


Wakati huohuo, Chuo kikuu cha Dar es salaam kwa kufuata shinikizo la Waziri Ndalichako kimemsimamisha masomo Katibu wa mtandao wa wanafunzi (TSNP) kijana Joseph Malekela kwa kutetea wenzie wapewe mkopo wa elimu ili waweze kusoma.

Img-1576673580126.jpg


My Take:
Serikali badala ya kuwapa mikopo watoto kwa wakati ili wasome yenyewe inawafukuza shule, haya mambo gani?

Hii ni tofauti na ahadi ya Kampeni ya rais Magufuli wakati anaomba kura, ambapo alisema wanaocheleweshea wanafunzi mikopo atawafukuza kazi, cha ajabu serikali yake inawafukuza wanafunzi walewale wenye uhitaji wa mikopo ya elimu!. Ajabu sana

 
Hapo Zitto anatafuta wanachama wapya

Wala hana lengo la kuwasaidia vijana

Vijana kataeni kutumika na wanasiasa baaadae watawatelekeza
 
Sipendi migomo vyuoni maana najua negative effect zake miaka 1990+ 2000+ na utawala wote wa Kikwete.

Ila naomba serikali ifanye kazi yake ipasavyo pesa za kununua ndege moja inaweza kuondoa kabisa tatizo la mikopo kwa wadogo zetu.
 
Mimi nilijua hapo mwanzo kupata mkopo siyo njia rahisi nikaamua Mwanangu nimsomeshe kwa gharama yangu. Hao wanaopewa mkopo wakimaliza masomo yao utakuta wanakatwa fedha nyingi sana kufidia mkopo aliouchukua. Nawashauri Wazazi wenzangu kama una ka uwezo kidogo achana na mkopo wa Serikali mlipie Mwanao toka mfukoni.
 
Nyie ngome ndo mmekuja na kabarua haka!!!!!!!!! nawashangaa kwa kuengemea upande mmoja mnalaumu Serikali kwani mmeambiwa Serikali ndo ilwaambia wanafunzi wapate suprementary, muwa mnawashauri na wanafunzi kuzingatia masomo na wanapokuwa na madai kutumia njia sahihi za kuwasilisha, ili haya ya kusimamishwa yasiwakute viongozi kwa kutoa tamko la dharau kwa Serikali. Alafu mnataka waachiwe kwani hamjui kama wameshasimamishwa chuo?,Serikali ipeleke hela bodi kwani mmeambiwa haijapelekwa mbona mnakuja na suluhu ya tatizo ambalo halipo, Rais kashatimiza majukumu yake na Ndalichako pia anafanya kazi yake vizuri.
 
Nyie ngome ndo mmekuja na kabarua haka!!!!!!!!! nawashangaa kwa kuengemea upande mmoja mnalaumu Serikali kwani mmeambiwa Serikali ndo ilwaambia wanafunzi wapate suprementary, muwa mnawashauri na wanafunzi kuzingatia masomo na wanapokuwa na madai kutumia njia sahihi za kuwasilisha, ili haya ya kusimamishwa yasiwakute viongozi kwa kutoa tamko la dharau kwa Serikali. Alafu mnataka waachiwe kwani hamjui kama wameshasimamishwa chuo?,Serikali ipeleke hela bodi kwani mmeambiwa haijapelekwa mbona mnakuja na suluhu ya tatizo ambalo halipo, Rais kashatimiza majukumu yake na Ndalichako pia anafanya kazi yake vizuri.
Wapo wanafunzi wa mwaka wa kwanza mpaka sasa hawajapata stahiki zao wewe hili unalionaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ngome ndo mmekuja na kabarua haka!!!!!!!!! nawashangaa kwa kuengemea upande mmoja mnalaumu Serikali kwani mmeambiwa Serikali ndo ilwaambia wanafunzi wapate suprementary, muwa mnawashauri na wanafunzi kuzingatia masomo na wanapokuwa na madai kutumia njia sahihi za kuwasilisha, ili haya ya kusimamishwa yasiwakute viongozi kwa kutoa tamko la dharau kwa Serikali. Alafu mnataka waachiwe kwani hamjui kama wameshasimamishwa chuo?,Serikali ipeleke hela bodi kwani mmeambiwa haijapelekwa mbona mnakuja na suluhu ya tatizo ambalo halipo, Rais kashatimiza majukumu yake na Ndalichako pia anafanya kazi yake vizuri.
Kwa kawaida wanafunzi wote wanaopata supplementaries lazima mikopo yao ichelewe. Vyuo vingi vinafanya Sup mwezi wa kumi au kumi na moja wakikaribia kufungua chuo ili kuwasaidia wanafunzi wenye sup kutokusafiri mara nyingi. Ahsante kwa point yako. Kuna watu watakuja nyuma ya hawa wanafunzi, hata ingekuwa mimi ningewachapa viboko 100 kisha kuwarudisha nyumbani wakafunzwe na wazazi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkusanya matilioni kwa mwezi anashindwa kuwapa mikopo wanafunzi Hawa wachache tu ,ccm mkome kusukumizwa majitu ona Sasa mmesukumiza linyarwanda Tena Hutu .
 
Kwa kawaida wanafunzi wote wanaopata supplementaries lazima mikopo yao ichelewe. Vyuo vingi vinafanya Sup mwezi wa kumi au kumi na moja wakikaribia kufungua chuo ili kuwasaidia wanafunzi wenye sup kutokusafiri mara nyingi. Ahsante kwa point yako. Kuna watu watakuja nyuma ya hawa wanafunzi, hata ingekuwa mimi ningewachapa viboko 100 kisha kuwarudisha nyumbani wakafunzwe na wazazi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu fuatilia vizuri siyo waliopata supliments tu ndo hawajapata hela. Hata ambao hawakuwa nazo pia wengi hawajapata regardless wameshasaini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom