Chadema haikufika hapo ilipo kwa kutamani NCCR, CUF zishuke zife ili wao wawe juu bali walipambana na CCM hadi wakafika walipo. ACT wakitegemea CCM iwapandishe juu kwa kuihujumu Chadema hawatafika popote.
Lengo la CCM siyo kuipandisha ACT bali kuitumia ACT chini ya Zitto kuihujumu Chadema, chama kinachoonekana kuwa na msimamo kama iliyokuwa CUF ya Maalimu Seif ILI kukifanya kuwa kama CUF ya Lipumba. Baada ya CCM kufanikiwa lengo lake ACT itatupwa na kubaki kama ilivyo CUF na Zitto atadharaulika kama walivyo Lipumba na Mrema.
Zitto asijenge ACT kwa kutegemea mgongo wa Chadema na CUF akijenge chama chake kwa misingi waliyojiwekea kama chama. Chadema ina misingi yake akifata misingi ya Chadema kujenga chama chake atapotea.
“Huwezi kuwa tajiri kwa kuombea tajiri afirisike”.
Lengo la CCM siyo kuipandisha ACT bali kuitumia ACT chini ya Zitto kuihujumu Chadema, chama kinachoonekana kuwa na msimamo kama iliyokuwa CUF ya Maalimu Seif ILI kukifanya kuwa kama CUF ya Lipumba. Baada ya CCM kufanikiwa lengo lake ACT itatupwa na kubaki kama ilivyo CUF na Zitto atadharaulika kama walivyo Lipumba na Mrema.
Zitto asijenge ACT kwa kutegemea mgongo wa Chadema na CUF akijenge chama chake kwa misingi waliyojiwekea kama chama. Chadema ina misingi yake akifata misingi ya Chadema kujenga chama chake atapotea.
“Huwezi kuwa tajiri kwa kuombea tajiri afirisike”.