Moderators wekeni namna ya kumpima mchangiaji IQ yake. Maana mtu juzi tu kajiunga lakini ana post zaidi ya elfu moja lakini karibu zote ni hewa.
Mkuu wanaosapoti ACT ni watanzania wazalendo wote kutoka vyama vyote, dini zote, makabila yote na taasisi zote zenye nia njema na tanzania yenye rasilimali chungu nzima ila zimekosa usimamizi mzuri. ACT ndio jibu la watanzania. Sasa umefika wakati wa watanzania kukombolewa na chama chao ACTndio jibu. Mungu bariki Afrika, mungu ibariki tanzania, mungu bariki ACT...Amen.!!!!!
Kuna haja ya kutuma vyeti vya kuzaliwa ili kujisajiri kwenye jukwaa hili maana usikute tunabishana na watoto watoro wa shule wanaoshinda kwenye internet cafeeee wanacheza game mtandaoni. Cookie Ondoa uzi huu hauna mashiko
Sure Mkuu;
Kama huyu jamaa ni kibichwa mzula kabisa hana hoja yoyote makini kutwa yupo mtandaoni anatema mashudu tu.
Sure Mkuu;
Kama huyu jamaa ni kibichwa mzula kabisa hana hoja yoyote makini kutwa yupo mtandaoni anatema mashudu tu.
mkuu, ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa dini, kabila wala kanda
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
we msukule unahitaji kukombolewa kifikra na chama makini ACT
utashindana lakini utashindwa.....!
Wadau nimeibiwa hati miliki....
Kama mtakumbuka heading ya mleta uzi haikuwa hii ni mm niliyeanzisha uz huu na ukafutwa na heading yangu kupewa huyu...
Ningekuwa nauwezo ningeshitaki forum hii..
Ama kweli hii ndo jf
@ abakorakamo wewe mzima kweli, vijana gani tujiunge kwenye chama chenye mkono wa makachero na ufadhili wao, huyooo mdini na mkabila ndiye msomi acheni kutumia ujinga wa tanzania kuwaibia ninyi makanjanja.......hicho si chama cha kigoma japo wanakigoma waelewa hawawezi kupoteza muda kwenye hilo genge la wasariti