ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

Moderators wekeni namna ya kumpima mchangiaji IQ yake. Maana mtu juzi tu kajiunga lakini ana post zaidi ya elfu moja lakini karibu zote ni hewa.
 
Moderators wekeni namna ya kumpima mchangiaji IQ yake. Maana mtu juzi tu kajiunga lakini ana post zaidi ya elfu moja lakini karibu zote ni hewa.

we msukule unahitaji kukombolewa kifikra na chama makini ACT
 
Mkuu wanaosapoti ACT ni watanzania wazalendo wote kutoka vyama vyote, dini zote, makabila yote na taasisi zote zenye nia njema na tanzania yenye rasilimali chungu nzima ila zimekosa usimamizi mzuri. ACT ndio jibu la watanzania. Sasa umefika wakati wa watanzania kukombolewa na chama chao ACTndio jibu. Mungu bariki Afrika, mungu ibariki tanzania, mungu bariki ACT...Amen.!!!!!

ACT ni chama cha watanzania wote bila kujali dini, rangi, kabila wala kanda
 
Kuna haja ya kutuma vyeti vya kuzaliwa ili kujisajiri kwenye jukwaa hili maana usikute tunabishana na watoto watoro wa shule wanaoshinda kwenye internet cafeeee wanacheza game mtandaoni. Cookie Ondoa uzi huu hauna mashiko

Sure Mkuu;
Kama huyu jamaa ni kibichwa mzula kabisa hana hoja yoyote makini kutwa yupo mtandaoni anatema mashudu tu.
 
Last edited by a moderator:
anatakiwa awataje watu walio kwenye chama hicho. ambao anasema ni wasomi ambao hawakupata division zero.
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.

ulitakiwa kuanza na salam ya dini ya hich chama kwasababu nio ch akidini
 
siku jua kama zito anaulewa mdogo wa kimawazo kushawishiwa na wazee wa ujiji anataka aanzishe chama mbadala wa CDM sio rahisi
 
Wadau nimeibiwa hati miliki....

Kama mtakumbuka heading ya mleta uzi haikuwa hii ni mm niliyeanzisha uz huu na ukafutwa na heading yangu kupewa huyu...

Ningekuwa nauwezo ningeshitaki forum hii..

Ama kweli hii ndo jf

Haaa! Pole mkuu kumbe hili dubu ni lijambazi ama kweli ukoo wa panya ni hatari nami niliona heading ya mwanzo baada ya kuona linashambuliwa likaamua kuja kudokoa dah!
 
Kwa namna chama hiki kinavyoshabikiwa,kupigiwa debe na kusifiwa kwa namna mbali mbali na wale waliomstari wa mbele kuitetea CCM humu mitandaoni ni wazi chama hicho sio mbadala wa CDM hata kidogo.ACT tayari kimejipambanua wazi kuwa ni kikundi kilichoanzishwa na watu walio na malengo ya kudhoofisha harakati za Watanzania waliochoshwa na utawala dhalimu wa CCM,wenye nia ya dhati ya kujitoa kwenye makucha ya wakoloni weusi kwa kuiunga mkono CDM.ACT imekuja kupambana na CDM kwa maslahi ya CCM,ni kikundi cha watu wanafiki na wasaliti wa Watanzania maskini wa nchi hii.
 
@ abakorakamo wewe mzima kweli, vijana gani tujiunge kwenye chama chenye mkono wa makachero na ufadhili wao, huyooo mdini na mkabila ndiye msomi acheni kutumia ujinga wa tanzania kuwaibia ninyi makanjanja.......hicho si chama cha kigoma japo wanakigoma waelewa hawawezi kupoteza muda kwenye hilo genge la wasariti

Kuna mtu aliniambia Kitila ni fully TISS na ndiye aliyekuwa assigned kuimaliza cdm by 2013. Sikuwahi kmwamini huyo jamaa maana ni mtu wa kawaida tu. Lakini kutokana na huu uking'ng'anizi wa jamaa nimeanza kuamini huenda ikawa ni kweli!
 
Back
Top Bottom