ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

Chama cha wasomi ni ACT na cha vilaza ni Chadema.

kama lengo lenu si kuchukua dola bali kupambana na CDM,basi watz wana kila sababu ya kukikataa hicho chama cha waasi!!!
na nadhani kitakufa hata kabla ya kupata usajili wa kudumu!!!
 
ACT ndio mkombozi wa watanzania. Kinakua haraka sana Arusha.

uko sahihi mkuu, yule mwizi wa magari na mwehu act tutamng'oa kwenye uchaguzi mwakani, arusha tutaweka mbunge makini
 
kila raheri ACT nipo tayari kuwa mwanachama wa chama hicho, kuna jimbo wilaya ya kwimba mwanza linahitaji ukombozi

hivi unaifahamu kwimba au unaota???
wasukuma wa leo si mbulura kama nyie wasaliti wakubwa!!!
 
Unachekesha sana mkuu. Hivi huwezi kuacha msimamo wa cdm wa kukashifu makabila mengine. Badilika mkuu.
 
act ni kama maji, usipoyanywa utayaoga
 
hivi kwanini asilimia 100 ya wanaosapoti ACT wengi ni wafuasi wa ccm,kuna siri gani

Mkuu wanaosapoti ACT ni watanzania wazalendo wote kutoka vyama vyote, dini zote, makabila yote na taasisi zote zenye nia njema na tanzania yenye rasilimali chungu nzima ila zimekosa usimamizi mzuri. ACT ndio jibu la watanzania. Sasa umefika wakati wa watanzania kukombolewa na chama chao ACTndio jibu. Mungu bariki Afrika, mungu ibariki tanzania, mungu bariki ACT...Amen.!!!!!
 
karibu sana mkuu. uchaguzi wa viongozi wa kitaifa, kimkoa na kiwilaya utafanyika soon. sasa hivi kuna viongozi wa muda tu, hiki ni chama cha kidemokrasia

demokrasia ya kuchumia tumbo na usaliti,chama cha makundi hakina hata bendera.mdhamini wenu tiss danganya majinga wenzako.wadini ninyi
 
Chadema wasipomuomba msamaha zitto wamekwisha mapema kabisa.
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.

Tija ni kufanya kazi kwa bidii na sio kujitayarisha kila muda kuwa mfuasi wa kikundi! hii biashara ya kungojea kikundi fulani kikutatulie matatizo ni ukilema wa kusita kujitendea mazuri!
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.

Ni nini kirefu cha act?
 
Back
Top Bottom