ACT Mkutano wa Makambako (PICHA)

ACT Mkutano wa Makambako (PICHA)

Bado hamjazingatia ushauri wangu..?

Hivi hicho chama chenu mmewekeza kwenye picha tu? Kwanini mnashindwa kutoa mrejesho wa kile kilichozungimzwa na wahutubiaji pamoja na kutoa hizo picha,? Kwanini msiwape wanajf Mrejesho wa Wanachama wangapi waliojiunga kwenye mkutano wenu, Au wangapi waliorudisha kadi toka vyama vingine kutokana na kuvutiwa na sera zilizonadiwa kwenye mkutano huo

Unapimaje kwamba Chama kimepokelewa vizuri kwasababu ya umati wa wananchi waliojitokeza hapo? Unajuaje kwamba wote waliofika hapo ni Mashabiki wa ACT na wanaiunga mkono?

Ungekuwa makini ungeweka idadi ya wanachama wanaojiunga kwenye mikutano hiyo na hapo ndipo kilipo kipimo cha kupokelewa na vizuri na watanzania na si Umati wa watu kwenye Mikutano hiyo.

BACK TANGANYIKA

wengine wameenda kumuona zitto ,walikuwa hawajawahi kumuona
 
Sijaona kipya, mtu akipiga tu chafya utaona waliokaribu wanasogelea kuangalia kulikoni sembuse na hii. Watanzania si wachache kujikusanya kuona kulikoni, asiyejua atadanganywa na wanaokuja kushangaashangaa
 
Bado hamjazingatia ushauri wangu..?

Hivi hicho chama chenu mmewekeza kwenye picha tu? Kwanini mnashindwa kutoa mrejesho wa kile kilichozungimzwa na wahutubiaji pamoja na kutoa hizo picha,? Kwanini msiwape wanajf Mrejesho wa Wanachama wangapi waliojiunga kwenye mkutano wenu, Au wangapi waliorudisha kadi toka vyama vingine kutokana na kuvutiwa na sera zilizonadiwa kwenye mkutano huo

Unapimaje kwamba Chama kimepokelewa vizuri kwasababu ya umati wa wananchi waliojitokeza hapo? Unajuaje kwamba wote waliofika hapo ni Mashabiki wa ACT na wanaiunga mkono?

Ungekuwa makini ungeweka idadi ya wanachama wanaojiunga kwenye mikutano hiyo na hapo ndipo kilipo kipimo cha kupokelewa na vizuri na watanzania na si Umati wa watu kwenye Mikutano hiyo.

BACK TANGANYIKA

Kuwa mfuasi au wa chama au mshabiki wa chama si lazima uwe na kadi ya chama unakuwa na mfuasi kisera na kukipigia kura hicho ni kitu kikubwa sana,
Sio unakuwa na kadi au uilipii aina mahana
 
Ile mbinu ya ccm ya sombasomba na malori Nasikia inatumika pia
 
Kuwa mfuasi au wa chama au mshabiki wa chama si lazima uwe na kadi ya chama unakuwa na mfuasi kisera na kukipigia kura hicho ni kitu kikubwa sana,
Sio unakuwa na kadi au uilipii aina mahana

Sawa mfuasi wa ACT, sasa hebu tuambie huyo mnayemfuata amesema nini kwenye mikutano yake tanghu juzi? Au hapa Jukwaani hakuna wafuasi wa ACT kiasi hawapaswi kujuzwa kinachoendelea huko?

Ewe mfuasi wa ACT hebu tujuze basi

BACK TANGANYIKA
 
Act wazalendo wapi zzk ayatola wenu kapewa deal na maccm kuwa upinzani .shabikia ujinga.cdm mpango.mzma
 
umejisikia tu kuandika upumbavu kama huu kwa sababu tu ulifunzwa kusoma na kuandika.!
Umekosa ustaarabu kabisa. Hayo ni maoni na mtizamo wangu na sio lazima ukubaliane na mimi. Wewe pia toa maoni na mtizamo wako huna sababu ya kunibwatukia mimi. Hivi kama nisingefunzwa kusoma na kuandika nisingeweza kuwaza, kutafakari na kusema?
 
Bado hamjazingatia ushauri wangu..?

Hivi hicho chama chenu mmewekeza kwenye picha tu? Kwanini mnashindwa kutoa mrejesho wa kile kilichozungimzwa na wahutubiaji pamoja na kutoa hizo picha,? Kwanini msiwape wanajf Mrejesho wa Wanachama wangapi waliojiunga kwenye mkutano wenu, Au wangapi waliorudisha kadi toka vyama vingine kutokana na kuvutiwa na sera zilizonadiwa kwenye mkutano huo

Unapimaje kwamba Chama kimepokelewa vizuri kwasababu ya umati wa wananchi waliojitokeza hapo? Unajuaje kwamba wote waliofika hapo ni Mashabiki wa ACT na wanaiunga mkono?

Ungekuwa makini ungeweka idadi ya wanachama wanaojiunga kwenye mikutano hiyo na hapo ndipo kilipo kipimo cha kupokelewa na vizuri na watanzania na si Umati wa watu kwenye Mikutano hiyo.

BACK TANGANYIKA

Ni swali la msingi .
 
Ndio mana tunasema watu kwenye mikutano ya Chadema huwa wanafata Chopa hamtuelewi,ila kwa moto huu wa Zitto mtaelewa tu sasa
amejipalia moto mkali jukwaa haliwezi a.yatollah anajisifu ya bungeni wakati hayuko bungeni mikutano yake sawa na ya diwani yeyote wa chadema na huku yeye ni khomein wa act duh
 
Back
Top Bottom