Hansen Nasli
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 883
- 338
Chama changu mie ACT,Mabadiliko na uwazi ni ACT,ndio habari ya Mjini ACT,Ni kufyeka mapori tu ACT?
Kwa sasa hivi watu huenda kwenye mikutano ya Act ili kujua kuna nin huko? Wala wana act wasishangilie sana, nimeshuhudia hili kwenye mkutano wa zitto wa songea.
kabisa kaka watabaki Wakina ARAWA!
Mnashangilia ujinga sababu huyu msaliti akija iringa mjini nitaenda kumsanifu na pumba zake,afu mtasema watu wamehudhuria wengi!.
umejisikia tu kuandika upumbavu kama huu kwa sababu tu ulifunzwa kusoma na kuandika.!
wewe ni mfano wa walewale wenye mtindio wa ubongo. Kwahiyo na kwenye vyama vingine huwa wanaenda kusikiliza nini.
Wananchi wanasikiliza ukweli na siasa safi ya kizalendo. Tofauti na chama cha wayege all the time mnawaza shari tu
Chadema mavi yanagonga chupi !
Chama cha wawekezaji wa kichaga
Kakwsmbia nani upuuzi huo!Unajua siasa ya nchi hii kweli we we dogo? kwenye mikutano ya wasaliti yanajaa maccm tu kwa sababu maalumu, na wengine wanaenda kumshangaa msaliti mkuu.Mikutano ya cdm huhudhuriwa na wanachama kwa % kubwa.
Mnataka kufahamu nini toka Kwenye Chama cha Wasaliti? Mmeshawafukuza Wasaliti nini kinawanya muendelee kuwafatia kutaka kujua matokeo ya mikutano Yao Wasaliti.wakaimbe wafanye comedi nyinyi inawahusu nini si mmeshamalizana na Wasaliti? Basi Jengeni chama Chenu Leo kulikua na Mkutano wa CDM Mbalizi Mbona hamuulizii wamejiunga wangapi?? Mnawakatisha Tamaa wanakoma kujenga CDM nyinyi mnakesha mitandaoni kutaka kujua mambo ya Wasali.Umemwacha mwenyewe mkeo Ila bado unamfatia eti amesimama na nani Tukueleweje Ndugu
Chama changu mie ACT,Mabadiliko na uwazi ni ACT,ndio habari ya Mjini ACT,Ni kufyeka mapori tu ACT?