Kwa idadi hii cdm wangekuwa wengi zaidi ila SONGEA jana Act walijaa si mchezo walifanikiwa kuvunja rekodi ya cdm songea
Mkuu wazungumzaji wenyewe kina nani Afande Sele???Tupate basi na kilichozungumzwa.
Hahhahahha! Aisee. Haya enjoy ur weekend.wanaitaji kura c wanachama,maana wapiga kura ni wengi kuliko wanachama
Sasa mnakubali anawadhoofisha subirini dozi iingie mwaka huu mpaka mtataga
ungehutubia wewe jana stand yoyote ile iwe ubungo ungejaza nyomi hao ni watu walikua kwenye mgomo madereva na abiria angalia zile picha uzisome vizuri
Wew acha uvivu nan akutafutie kama unahitaji nenda you tube
Idadi ya wanamakambako sio hii kwa jinsi ninavyoifahamu.
Zito mpweke.. umejitelekeza ndio basi tena kwisha habari yako![]()
Kazi ya kueneza Uzalendo inaendelea bila ya kuchoka. Kama kawaida nafurahishwa na namna ambavyo ACT Kimepata mapokezi yakutia moyo kwa wapenda siasa safi
ACT Imedhamiria kuwakomboa watanzania.
Inasemekana kuna chama kimoja cha upinzani kiliandaa kikundi cha watu kufanya vurugu, hila hizo zimeshindikana baada ya wapenda uzalendo kuweka ulinzi wa kutosha.
Inasikitisha kuona chama cha upinzani kinapanga kikundi cha kufanya vurugu katika mkutano wa chama kingine cha upinzani.
Kwani wewe hujui kwa ACT ni chama kilicho undwa rasmi kupambana na upinzani wa kweli? Kwani hujui kiwa kinaishi kwa hisani ya mafisadi wa ccm? Au na wewe unakokotwa tu kama tela hujui chochote?upo tu kama ng'ombe anaye enda machinjon? Kazi mnayo watanzania , hata wasomi mnarubunika kirahisi hivi sasa wasio soma sijui hali itakuwaje kwakweli.
Kwa idadi hii cdm wangekuwa wengi zaidi ila SONGEA jana Act walijaa si mchezo walifanikiwa kuvunja rekodi ya cdm songea
Mkuu wazungumzaji wenyewe kina nani Afande Sele???
Bado hamjazingatia ushauri wangu..?
Hivi hicho chama chenu mmewekeza kwenye picha tu? Kwanini mnashindwa kutoa mrejesho wa kile kilichozungimzwa na wahutubiaji pamoja na kutoa hizo picha,? Kwanini msiwape wanajf Mrejesho wa Wanachama wangapi waliojiunga kwenye mkutano wenu, Au wangapi waliorudisha kadi toka vyama vingine kutokana na kuvutiwa na sera zilizonadiwa kwenye mkutano huo
Unapimaje kwamba Chama kimepokelewa vizuri kwasababu ya umati wa wananchi waliojitokeza hapo? Unajuaje kwamba wote waliofika hapo ni Mashabiki wa ACT na wanaiunga mkono?
Ungekuwa makini ungeweka idadi ya wanachama wanaojiunga kwenye mikutano hiyo na hapo ndipo kilipo kipimo cha kupokelewa na vizuri na watanzania na si Umati wa watu kwenye Mikutano hiyo.
BACK TANGANYIKA