mzaula ndahani
Senior Member
- Feb 20, 2015
- 138
- 20
Kwa Sasa tunaitaji nyomi kwenye mikutano hilo wamechukua kad baadae
Hivi hata hamjiulizi Kwa mini zito katiba ime MPA nguvu kubwa ndani ya CHama bado mko gizani kweli jamani!!
Kwa Sasa tunaitaji nyomi kwenye mikutano hilo wamechukua kad baadae
Mimi naona wengi wanaohudhuria mikutano yao ni watu wanaokwenda kumshangaa huyo kiongozi mkuu au msaliti mkuu na ndio maana baada ya hapo wote hujirudia nyumbani wakiwa wamebaki na vyama vyao vya awali. Sasa wenyewe wenye chama wakipiga picha umati wa watu na kuwaweka humu jukwaani wanajiona wanakubalika kumbe sivyo
Akili yako ndogo kweli Kwa hiyo ule umati wote walikua act eti.
Hakuna vurugu zozote ambazo zingetokea kwani ACT-WAZALENDO inalindwa na wananchi wengi kuliko kundi lao.
Mimi naona wengi wanaohudhuria mikutano yao ni watu wanaokwenda kumshangaa huyo kiongozi mkuu au msaliti mkuu na ndio maana baada ya hapo wote hujirudia nyumbani wakiwa wamebaki na vyama vyao vya awali. Sasa wenyewe wenye chama wakipiga picha umati wa watu na kuwaweka humu jukwaani wanajiona wanakubalika kumbe sivyo
Hakuna vurugu zozote ambazo zingetokea kwani ACT-WAZALENDO inalindwa na wananchi wengi kuliko kundi lao.
Mkuu wangu inawezekana unachosema ni kweli mimi nadhani kwa sasa wanachofanya ACT ni kurusha kokoro ziwani baadae waanze kulivuta tuvute subira najua haupendi lakini ndiyo hivyo siyo kama wanamekataa ushauri wako wanaufanyia kazi.Bado hamjazingatia ushauri wangu..?
Hivi hicho chama chenu mmewekeza kwenye picha tu? Kwanini mnashindwa kutoa mrejesho wa kile kilichozungimzwa na wahutubiaji pamoja na kutoa hizo picha,? Kwanini msiwape wanajf Mrejesho wa Wanachama wangapi waliojiunga kwenye mkutano wenu, Au wangapi waliorudisha kadi toka vyama vingine kutokana na kuvutiwa na sera zilizonadiwa kwenye mkutano huo
Unapimaje kwamba Chama kimepokelewa vizuri kwasababu ya umati wa wananchi waliojitokeza hapo? Unajuaje kwamba wote waliofika hapo ni Mashabiki wa ACT na wanaiunga mkono?
Ungekuwa makini ungeweka idadi ya wanachama wanaojiunga kwenye mikutano hiyo na hapo ndipo kilipo kipimo cha kupokelewa na vizuri na watanzania na si Umati wa watu kwenye Mikutano hiyo.
BACK TANGANYIKA
umejisikia tu kuandika upumbavu kama huu kwa sababu tu ulifunzwa kusoma na kuandika.!Mimi naona wengi wanaohudhuria mikutano yao ni watu wanaokwenda kumshangaa huyo kiongozi mkuu au msaliti mkuu na ndio maana baada ya hapo wote hujirudia nyumbani wakiwa wamebaki na vyama vyao vya awali. Sasa wenyewe wenye chama wakipiga picha umati wa watu na kuwaweka humu jukwaani wanajiona wanakubalika kumbe sivyo
Mnataka kufahamu nini toka Kwenye Chama cha Wasaliti? Mmeshawafukuza Wasaliti nini kinawanya muendelee kuwafatia kutaka kujua matokeo ya mikutano Yao Wasaliti.wakaimbe wafanye comedi nyinyi inawahusu nini si mmeshamalizana na Wasaliti? Basi Jengeni chama Chenu Leo kulikua na Mkutano wa CDM Mbalizi Mbona hamuulizii wamejiunga wangapi?? Mnawakatisha Tamaa wanakoma kujenga CDM nyinyi mnakesha mitandaoni kutaka kujua mambo ya Wasali.Umemwacha mwenyewe mkeo Ila bado unamfatia eti amesimama na nani Tukueleweje NduguTimumu,
Unachosema ndio ukweli wenyewe, Ndiomaana hawataki kuleta mrejesho hapa ni nini kilichotokea cha maana zaidi picha wazopiga kwenye mikutano hiyo. Ukiwauliza hivyo wanapanic na kukutaka uende YouTube, Ajabu gani hii..!!!
BACK TANGANYIKA
Mkuu wangu inawezekana unachosema ni kweli mimi nadhani kwa sasa wanachofanya ACT ni kurusha kokoro ziwani baadae waanze kulivuta tuvute subira najua haupendi lakini ndiyo hivyo siyo kama wanamekataa ushauri wako wanaufanyia kazi.
Wachaga wameshikwa pabaya na saccos yao.Lazima jamaa aondoke na watu wake wote waliomfuata.
Mnataka kufahamu nini toka Kwenye Chama cha Wasaliti? Mmeshawafukuza Wasaliti nini kinawanya muendelee kuwafatia kutaka kujua matokeo ya mikutano Yao Wasaliti.wakaimbe wafanye comedi nyinyi inawahusu nini si mmeshamalizana na Wasaliti? Basi Jengeni chama Chenu Leo kulikua na Mkutano wa CDM Mbalizi Mbona hamuulizii wamejiunga wangapi?? Mnawakatisha Tamaa wanakoma kujenga CDM nyinyi mnakesha mitandaoni kutaka kujua mambo ya Wasali.Umemwacha mwenyewe mkeo Ila bado unamfatia eti amesimama na nani Tukueleweje Ndugu