tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,139
Kwa hili kapoteza sifa ya kuitwa kamanda,..ni muuaji msangi
kweli mwisho wa ubaya ni aibu
Kwa hili kapoteza sifa ya kuitwa kamanda,..ni muuaji msangi
Tunaomba wenye picha yake watuwekee hapa ili tuweze kumfaham vizuri.
Fanya Utafiti kwanza kabla ya kuleta ujumbe kama huu ktk blog...mimi nawashangaa sana watanzania hivi ni kwanini tuna penda kuwa na Tabia za kizushi??????????? unajua uzushi unaleta usumbufu mkubwa kama kweli kamanda kahusika huyu aliyeleta huu ujumbe alikuwa wapi?? acheni uzishi hauna ukweli wowote
Watu Kama wewe mnasababishia watu ban Kama asubuhi tafadhali Kimbia!!!!Fanya Utafiti kwanza kabla ya kuleta ujumbe kama huu ktk blog...mimi nawashangaa sana watanzania hivi ni kwanini tuna penda kuwa na Tabia za kizushi??????????? unajua uzushi unaleta usumbufu mkubwa kama kweli kamanda kahusika huyu aliyeleta huu ujumbe alikuwa wapi?? acheni uzishi hauna ukweli wowote
Fanya Utafiti kwanza kabla ya kuleta ujumbe kama huu ktk blog...mimi nawashangaa sana watanzania hivi ni kwanini tuna penda kuwa na Tabia za kizushi??????????? unajua uzushi unaleta usumbufu mkubwa kama kweli kamanda kahusika huyu aliyeleta huu ujumbe alikuwa wapi?? acheni uzishi hauna ukweli wowote
Muda mchache uliopita nimepokea ujumbe huu katika simu,
"Kamanda Msangi aliyemkamata na kumtesa Dr Ulimboka yupo katika jopo la kuchunguza nini kilimtokea Dr Ulimboka. Alipofika kumuhoji Dr Ulimboka alimwambia 'Nirudishie simu na waleti yangu'. Kamanda Msangi taratibu akatoka wodini kichwa chini. Kama wewe ni mpenda haki na unapinga ujinga na dhuluma watumie ujumbe huu watu wengi kadri uwezavyo ili wamjue dhalimu aliyeoongoza unyama huu:"
wakuu napenda kujua undani wa huyu kamanda!
Je kuna ukweli wowote wa haya yasemwayo?
Huyu ndiye Kamanda ACP Hemed Msangi katika muonekano mzuri hivi ni jinsi alivyo Mungu amlipe kwa uovu wake.
![]()