Nawapongeza sana vijana ambao Leo wametulia:
Wameacha kuandamana
Kama ujumbe umeshafika kwa wahusika:
Jukumu la kuijenga na kuilinda nchi YETU ni la sisi sote:
Tukumbuke tuna wagonjwa, watoto, akinamama, wazee na watu maalum wanahitaji kuhudumiwa na haki Yao: