vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,314
- 10,358
Mkuu Nimesema ni njia rahisi sio njia pekee, lazima pia ufuatilie inspection report yake na Grade yake, pia ilisafirishwa lini kutoka Japan. Lakini yote hayo yanaanzia na namba E,Subiri ukutane na namba E kumbe imetoka hapo kisiwa ndui na iliingia Zanzibar 10yrs ago ila nimeivusha bara na kuipa usajiri mpya
Pia, kuna kampuni/Mashirika Bongo zinanua gari 0 km, wale utakuta registration ni namba C lakini gari ni kinanda na ukiipata kwenye minada ya apa bongo ni sawa na namba F ya used imported, especialy kama hilo shirika linafuta proper maintenance!
Mwisho wa siku tatizo na mafundi Maiko gari ukiitunza haizeekiba Japan Hamna Mamaiko.