byakunu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 513
- 1,141
Hii trend ya kuuza gari mtu anaangalia usajili wa namba namba ya gari ni ya lini mfano EEM, DYL, DME ndo atamke bei ni ushamba sana unaendekezwa na washamba, Kwamba gari nzuri ni yenye namba latest?
Unakuta mtu anauliza kabsa namba gani? Tanzania tuna mambo ya kishamba sana. Kuna gari zina hali mbaya kabsa kuliko AAD ziko ovyo sana zinasajiliwa namba ya leo ndo mtu anaamini ni gari nzuri.
Sijui kifanyike nini kuondoa huu utaratibu wakipuuzi, magari mazuri yaliyo tunzwa vizuri yana hukumiwa na namba.
Unakuta mtu anauliza kabsa namba gani? Tanzania tuna mambo ya kishamba sana. Kuna gari zina hali mbaya kabsa kuliko AAD ziko ovyo sana zinasajiliwa namba ya leo ndo mtu anaamini ni gari nzuri.
Sijui kifanyike nini kuondoa huu utaratibu wakipuuzi, magari mazuri yaliyo tunzwa vizuri yana hukumiwa na namba.