Acheni hizo warembo mnatubania sana!

Acheni hizo warembo mnatubania sana!

Anaanza mambo wamjibu poa, anarudi tena ishu vipi wamjibu tena fresh, hachoki mishe zinaendaje agrrrr qummmamae hv tupo jukwaa la salamu au

Si ndio hapo sasa utadhani mtu yuko kwenye mazoezi ya kusalimia!!
 
faizaFox nijibu pm. Kumbe wengi tumebaniwa. Mmepewa bure,toeni bure. Mwisho wa siku mbolea ya udongo
 
Last edited by a moderator:
Yaan tangu nizaliwe

Sijawahi kuchat na mdada pm

Naomba nisijaribu labda kuna raha ntakua addicted huko
 
kiwatengu, Location : Sing'isi Meru

Umenikumbusha sing'isi meru, nilifika huko enzi hizo. Mazingira yake yanafanana na mambo ya PM, pamejificha sana kwa sababu ya migomba. Huenda mazingira hayo yakawa yamekuathiri.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom