Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
nimejaa tele ngoja nitafute wa kum PMniaje braza ake, umeadimika sana
nimejaa tele ngoja nitafute wa kum PMniaje braza ake, umeadimika sana
zinatuletea dili za pesa nyingi
poa poaha ha ha...tuonane huko!!
Pm ni root tu!!
Heaven on Earth analea mimba... usifanye mchezo na mimba iliyotengenezwa mchana. Nakumbuka hiyo siku mvua ilikuwa inanyesha... ishara ya kupata dume langu la sita.
you nail it!!!
nothing like papue... umenionea wapi Heaven on Earth?
Anaanza mambo wamjibu poa, anarudi tena ishu vipi wamjibu tena fresh, hachoki mishe zinaendaje agrrrr qummmamae hv tupo jukwaa la salamu au
Nataka nimtumie Heaven Sent kuna maagizo ya kikazi nataka kumpa
Teh nipe hayo maagizo hapa hapa. Nimeshakuchoka na vizinga vyako teh
Khaaa sina business naye yoyote
Kemea kwa maombiHizi ni dalili za uchawi
Aisee!!! Missyrose Wangu Yupo katika Sura Ya Kike na Yenye kutukuka kama Ya malaikaAvatar zinawachanganya wengi kumbe wengine kiuhalisia wana sura kama za baba zao wakubwa.