Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,574
So ndio sasa. We nitumie hiyo PM, ukikosea nitakuambia. Kama driving vile
Mie bado hata sijajua pm inatumwaje ndio nataka unifundishe jinsi ya kutuma
So ndio sasa. We nitumie hiyo PM, ukikosea nitakuambia. Kama driving vile
Mie bado hata sijajua pm inatumwaje ndio nataka unifundishe jinsi ya kutuma
Hamna kuna jamaa mmoja humu nimemzimikia nataka kumtumia pm
Ha Ha ha hewani ni kipindi cha salamu
Napenda kutuma salamu kwa watumishi wenzangu tulioasi popote walipo
Hamna kuna jamaa mmoja humu nimemzimikia nataka kumtumia pm
Hahaha. Haya Atoto. Nakuja na manual.
Teh teh...Wakubwa hawatongozani ww..Dubai unadhani tunaenda kwenye mkutano wa injili au???
Hahaha. Kweli bana. Bora umekuja mhusika unisaidie.Teh teh..Usije ukarubunika kweli
Kaboom mwenyewe ameshafika, so atakuelekeza vizuri zaidi kuliko mimi.Am waiting
Oooh kumbe!! Nielekeze basi jinsi ya kutuma pm, Paulo Sergio De Souz ananibania.
Hahaha. Kweli bana. Bora umekuja mhusika unisaidie.
Nikufundishe ili iweje??.Wataka kum-private message nani??
Mambo ya pembeni ndio yapi mkuu? Halafu nashangaa sijawahi kupata pm kutoka kwa mdada
Nataka nimtumie Heaven Sent kuna maagizo ya kikazi nataka kumpa