tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,143
Hivi sirias kabisa mtu unahangaika huko pm na vivuli vya JF!? Lowassa hajakosea kuweka vipaumbele elimu, elimu, elimu!!
Hilo swali kwani ubaya wake nn?Karibu ila ukija na swaga za Kuuliza kama mie ni denti uwe na ada kabisa make ndo nipo form three C
What about you? Mnaonekanaje? Ma hb?
Usimkosee muumba
Avatar zinawachanganya wengi kumbe wengine kiuhalisia wana sura kama za baba zao wakubwa.
Walaaniwe mabinti wote wanaobana PM..
Wasibarikiwe kabisaa tena papuchi zao zikose huduma muhimu...
Kuna kautafiti nakaribia kukamalizia..... mpaka sasa uelekeo unaonyesha mabinti wote wanaobana PM zao wana sura kama za baba zao na wala hawajui kunyoa nywele za chini.
Utafiti bado unaendelea
Utajibeba........piga pin PM zote dadeki......hakuna........
Kiwatengu katika ubora wako...
sasa mdada akuandikie PM akuambie nini?
Pm patamu...
afu ukute Mada inahusu Papue, story zinanogaga...
Walaaniwe mabinti wote wanaobana PM..
Wasibarikiwe kabisaa tena papuchi zao zikose huduma muhimu...
Kuna kautafiti nakaribia kukamalizia..... mpaka sasa uelekeo unaonyesha mabinti wote wanaobana PM zao wana sura kama za baba zao na wala hawajui kunyoa nywele za chini.
Utafiti bado unaendelea
Kuna kamoja hako nilikabembeleza kaachie PM yake wazi ili nikape mchongo. Basi kakakubali kakaiachia tukapeana mawasiliano. Nilivyokutana nako nikajiuliza PM kalikuwa kanambania nani? Sura kama ngumi ya mwizi wallah...
Utafiti bado unaendelea...
bora tu ufunge manake mabazazi wana mawenge.
Naomba kujuzwa jinsi ya kubana hizo pm Tafadhali...
Naomba kujuzwa jinsi ya kubana hizo pm Tafadhali...
nami nimekupenda aiseeeeNimekupenda bure