acheni baadhi yetu waichukie CHADEMA

acheni baadhi yetu waichukie CHADEMA

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
10,827
Reaction score
4,183
CHADEMA haichukikiki
1004578_10201559296170566_659813169_n.jpg
 
Kukwepa hii aibu ndio maana wanawatandika watu mabomu watawanyike ili media zisionyeshe kinachoendelea

Sent from my HTC Desire S using Tapatalk 2
 
Kuna watu picha hawaoni kusoma hawajui, watakuja tu ngoja wakakinge buku saba zao.
 
Chadema inapendwa mpaka imetishia uhai wa serikali ya vibaka

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Walikuwa wanakwenda kurudisha kadi za chadema, ili wajiunge CCM: NAPE
kama Tanzania yote ingekuwa ime amka hivi, magamba yange disapia yenyewe
 
Back
Top Bottom