acheni baadhi yetu waichukie CHADEMA

acheni baadhi yetu waichukie CHADEMA

Kwa kweli kwa mtaji huu chadema haichukiki. Wameunda kikosi cha vijana wengi wa .com na kuwalipa posho nzuri kila siku (nawafahamu baadhi yao)ili muda wote washinde kwenye mitandao e.g. Jamiiforum wakichangia hoja/andishi mbali mbali zinazopostiwa humo wakiunga mkono na kutetea cdm kwa kila jambo.ccm na vyama vingine vimelala usingizi wa pono. Vyama hivyo mpaka sasa yaelekea havitambui nguvu ya mitandao kwenye jamii, hususan vijana ambao ndo wengi.wakumbuke athari iliyoipata serikali ya ghadafi na serikali kadhaa hususan huko middle east kutokana na nguvu za mitandao. Watawala hao na serikali zao waliangushwa kutokana na vuguvugu zilizoanzia kupitia mitandao ya kijamii. Acha ccm ilale usingizi itakuja kushtuka kumekucha hata uwezekano au mwanya wa kufanya janjaology katika chaguzi utakuwa umezibwa to water tight situation if not air tight. Lakini nawaasa cdm fanyeni yote lakini ndugu zangu muogope mungu. Msihusishe dini zetu katika halakati zenu kwa namna yoyote ile.fanya yote lakini acha dini zetu salama kwa kutowaigiza katika mitego yenu. Pia na ccm hivyo hivyo. Michezo yenu chezea mbali na sehemu takatifu za dini zetu na viongozi wake.
 
Hii picha imechukuliwa Afrika Kusini kwenye maandamano ya wafanyakazi. Acheni kufanya kila mtu humu JF ni zuzu nyie mapimbi.
 
natamani sana ila inatakiwa uwe na mbio

...aaahh hilo tu...? wapo vijana well trained watakupa miongozo yooote, we hujiulizi lema na Mbowe walitoweka vipi mbele ya msitu wa askari na wanajeshi...
 
ya arusha mnayaweza wenyewe jamani, ila sasa nendeni taratibu
hata sie wa huku mnatupa woga mjue.
...aaahh hilo tu...? wapo vijana well trained watakupa miongozo yooote, we hujiulizi lema na Mbowe walitoweka vipi mbele ya msitu wa askari na wanajeshi...
 
Kweli akina chama, @mejebere, Ritz wanaumia sana
 
Last edited by a moderator:
ya arusha mnayaweza wenyewe jamani, ila sasa nendeni taratibu
hata sie wa huku mnatupa woga mjue.

...usiogope, ingawa wameapa kutupiga na kutuua,hatutaacha kusonga mbele kwa maslahi ya vizazi vijavyo. leo tukisita watazidi kujijengea uzio na mgandamizo mkubwa kwa watoto wetu...
 
Ukiangalia picha kama hizi zinavyoonyesha mshikamano wa hali ya juu wa Wana Arusha pamoja na udhalimu wa kila aina wanaofanyiwa na Serikali dhalimu hadi mwili unasisimka.

CHADEMA foreverrrr.
MAGAMBA yakiona hvo mavi debe.
 
Hii picha imechukuliwa Afrika Kusini kwenye maandamano ya wafanyakazi. Acheni kufanya kila mtu humu JF ni zuzu nyie mapimbi.
...hahahaaaahhh ! chadema wako juu,kumbe walifanikiwa kukusanya mtiti woote huu huko south au hao wasauth wanapiga gwanda na kofia za chadem siku hizi...
 
Jitahidini kuwa waangalifu lakini.
...usiogope, ingawa wameapa kutupiga na kutuua,hatutaacha kusonga mbele kwa maslahi ya vizazi vijavyo. leo tukisita watazidi kujijengea uzio na mgandamizo mkubwa kwa watoto wetu...
 
Back
Top Bottom