Acha unafiki!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
TIM;Hivi lini utastaarabika Tom,kila tukipewa vipande vya nyama wewe unawahi kipande kikubwa mimi unaniachia kidogo,why? TOM;Wewe ungekuwa wakwanza kuchagua ungechukua kipande kipi? TIM;Kwa sababu mimi ni mstaarabu ningechukua kipande kidogo! TOM;Sasa unacholalamika ni nini,kumbe hata ukiwa wa kwanza kuchagua nyama utachagua kipande kidogo basi kipande kikubwa ni halali yangu!
 
JF... Huwezi kununa siku nzima... Senkyuu Mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…