pipi mti
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 764
- 515
Inakera Sana unakuta mtu anakuja na uzi the wa kuuliza feedback juu ya nafasi fulani ambazo zilitangazwa siku za nyuma na yeye aliomba, wakati zilipotoka hakushare humu. Anaomba kimya kimya (kichoyo) alafu tetesi anataka apate humu kwa watu ambao aliwaficha zilipotangazwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app